Muacheni kagame. Kama demokrasia tuanzie kwenye kuheshimu maoni ya wananchi kwenye mchakato wa katiba.
Kikwete 100 ni Kagame mmoja
Hapo ndipo penye mantiki
Muacheni kagame. Kama demokrasia tuanzie kwenye kuheshimu maoni ya wananchi kwenye mchakato wa katiba.
Kikwete 100 ni Kagame mmoja
Njia ndefu ama fupi, nyembamba ama pana, yenye makorongo ama tambalale, yenye kona amna nyoofu, yenye mabonde ama miinuko lazma CCM isepe tu, lini muda utaamua
Inatuwasha kwa vile tumechoka kupokea wakimbizi kutokana na mauaji huko kwenu, na wanaswagwa kama ng'ombe wa ankole
Kagame is running scared now, M23 ni wanyarwanda , sasa dunia inaelewa hivyo. Na hao wahutu waliokimbia mnawaita FDLR nao ni wanyarwanda,tatizo lenu hamja rise above primitive tribalism.
Kwani Wahutu wakirudi kwao kuna kosa gani?
PK is running scared , thats a fact, uongo unaishia ukingoni, hao Wahutu nyie mnawaita FDLR ni ndugu zenu.
Wenye kesi za uuaji si utawanyonga upendavyo!!
Acha ile huku bongo tunaita longo longo!!!
Saidia mwenzako, si mlisema mna Coalition Of the Willing(COW),
at times of need mna prove kuwa literally cattle wa kuswagwa badala ya kusaidia.
Muungwana huonyesha matendo badala ya longo longo.
Umemsahau na MusevenKuhusu kuondoka madarakani, naona Kagame na Mugabe lao moja!
Inatuwasha kwa vile tumechoka kupokea wakimbizi kutokana na mauaji huko kwenu, na wanaswagwa kama ng'ombe wa ankole
Kagame is running scared now, M23 ni wanyarwanda , sasa dunia inaelewa hivyo. Na hao wahutu waliokimbia mnawaita FDLR nao ni wanyarwanda,tatizo lenu hamja rise above primitive tribalism.
Kwani Wahutu wakirudi kwao kuna kosa gani?
PK is running scared , thats a fact, uongo unaishia ukingoni, hao Wahutu nyie mnawaita FDLR ni ndugu zenu.
Wenye kesi za uuaji si utawanyonga upendavyo!!
Acha ile huku bongo tunaita longo longo!!!
Saidia mwenzako, si mlisema mna Coalition Of the Willing(COW),
at times of need mna prove kuwa literally cattle wa kuswagwa badala ya kusaidia.
Muungwana huonyesha matendo badala ya longo longo.
AR: Je, kutokueleweka huku kwa tukio hili kumesababishwa na ukweli kwamba waliohusika ni watu waliokuwa wakiishi katika jamii moja – jambo ambalo ni la kipekee katika dunia ya sasa?
PK: Kweli kabisa. Kilichotokea ni tofauti na kile ambacho kimetokea kwa watu wengine. Hii limesababisha kuwapo kwa matukio mahususi ambayo wakati mwingine ni muhimu kuyaeleza.
Hata kama kuna watu wanataka jambo hili lifanywe kama mwiko kulizungumzia, hatupaswi kusahau namna baadhi ya mataifa ya magharibi yalivyochangia kwa kilichotokea –si kwa sababu za kihistoria pekee lakini kutokana na kile kilichotokea wakati wa mauaji hayo ya kimbari.
Leo, ni mataifa hayahaya ya magharibi ambayo ndiyo yanahubiri kuhusu masuala ya utawala bora na demokrasia.
Wangependa Wanyarwanda waendelee kuishi kana kwamba hakuna kilichotokea; jambo ambalo lina faida kwao kwa vile linamaanisha watu wangesahau kuhusu kuhusika kwao kwenye mauaji hayo.
Tuwe wakweli japo ni team uzalendi PK ni kiongoz shupav ambayo kuna wakati Africa itamkuka
Wala usihisi, ni Tanzania anayoisema, na ni kweli tupu wanatufidi ndio maana hawatukosoi ingawa wanayaona.Hapo kwenye suala la DEMOKRASIA amenikosha sana,anasema kama Demokrasia ni kufuata tu yale unayoamriwa na mabwana wakubwa wa Magharibi yeye hayuko tayari kuifuata,Akashangaa unafiki wa Nchi za Magharibi kukaa kimya juu ya nchi zenye rekodi mbaya kuhusu Demokrasia,Haki za Binadamu,Rushwa,Ubadhirifu,nk,Mimi nahisi kama anamaanisha Tanzania vile?
Tuwe wakweli japo ni team uzalendi PK ni kiongoz shupav ambayo kuna wakati Africa itamkuka
View attachment 172045
Kagame anafanana na huyu bibi atleast yeye anajipamba mwenyewe na illusions zake, lakini pale unapokutana na useless na supporters as in tutsi's telling you Kigali is better than the rest of East Africa cities. At the same time the whole of Rwanda is not the size Kilimanjaro region in Tanzania wakati huo huo nchi ya Rwanda inadaiwa sawa na Tanzania if not more wote wakiwa kwenye heavily indebted poor nations. Sasa unajiuliza ten million population ardhi hakuna na ukabila juu huyo great gani, mwehu tu.
Natamani kagame aje kumli place baba havintishi japo kwa wiki moja tu....nchi hii inahitaji mtu serious
we kihoro kweli hujaona kuwa kagame ni kituko.
ahahahahha...mnaambiwa
msiingilie mambo ya wengine wewe eti muingie rwanda,sasa alichokisema
pk ni sahihi kabisa watanzania wengi nanataka kuingilia mambo ya rwanda
yasiyo wahusu.
Hizi ndizo hoja ulizoongea.lakini watanzania mtamtetea ba mwanaisha mpaka lini?pale hapa kuwepo ushauri,ushauri kwa waungwana unamuita mwenzako pembeni/faragha na kumpa huo ushauri,lakini aliyo yafanya ulikua upuuzi tu kwani msimamo wa rwanda kuhusu FDLR alikua anaufahamu,na ushirika wa kikwete na FDLR ulikua unajulikana kigali,na mpango mzima wa SA na france kumtumia kikwete ulikua unajulikana,sasa hapakuwepo cha ajabu kikwete kuropoka yale maneno unayoyaita ushauri,kwani alikua akitegemea support kutoka kwa hao mabwana zake,lakini mwisho wake rwanda imekua mshindi kwani hawakufikia lengo lao na hawatalifika,instead tanzania amekua loser,hii hasira ya watanzania ni kwa sababu purukushani hizi zimeshusha hadhi ya tanzania katika east afrika community hana tena influency,na hicho ndicho kinawauma sana,sasa mimi sishangai kuona kikwete ana support upinzani wa rwanda kwani kwanza hayuko tayari kuomba msamaha,pili anafikiri utawala wa kigali ukibadilika labda atarudisha hadhi yake ya zamani,but yoye haya nikupoteza muda,ushauri ni kwamba hadhi ya tanzania itarudi pindi uongozi ukibadilika,na hiyo serikali mpya inatakiwa kua yenye mtazamo sawa na chi zingine zilizo ndani ya EAC,bila hivyo mtakalia kuhangaishwa na ya majirani na kusahau kuyaangalia yenu.
nyie mbona mliingilia masuala ya wacongoman mpaka mlipotimuliwa na jw kule goma.? you idiot