Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,249
Yaani anafikiria kubadilisha vifungu vya katiba ili agombee tena urais??? Amevurugwa huyu
...anatofauti gani na wale wanaokataa maoni ya wananchi?...
Yaani anafikiria kubadilisha vifungu vya katiba ili agombee tena urais??? Amevurugwa huyu
kagame mkurupukaji tu, ni jamii ya akina dr slaa anakurupuka alafu akigundua kafanya fyongo anabuni mpango wa kutafta public sympath
AR: Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania alikumbana na hasira zako wakati alipopendekeza ukutane kwa mazungumzo na wapinzani wako wakiwamo wale wa FDLR. Hukubaliani na mawazo hayo?
PK: Kitu nisichokubaliana nacho ni kuingiliwa. Haikubaliki kwamba Jakaya Kikwete na serikali yake wajihusishe, kwa namna yoyote, na watu waliohusika na mauaji ya kimbari. Sioni sababu yoyote ya mtu kujihusisha nayo.
Chanzo;Raia mwema
Na wewe bwana ako ni nani? Au ndo huyo Kagame sio? BTW, tangu lini Kagame ameanza kushitaki wabaya wake? BTW, nani alikudanganya hapa Bongo yametushinda?! Yangetushinda tungepata nafasi ya kwenda kuvichapa vijibwa vya PK, M23?Amewahitaji warudi washitakiwe nyir na mabwana Zenu wakubwa mmewakatalia. Alafu bado wanaongea ongea upuuzi . Lazma wauliwe . Yenu APA bongo yamewashinda kutwa kumpangia mambo yake kagame
kagame mkurupukaji tu, ni jamii ya akina dr slaa anakurupuka alafu akigundua kafanya fyongo anabuni mpango wa kutafta public sympath
Yaani wanauwana wenyewe kwa sababu za kipumbavu kabisa halafu watarajie mtu kutoka nje akakomeshe?? Hivi hujisikii angalau aibu kufananisha suala la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ZNZ na Rwanda? Serikali haitaki SUK wakati serikali inayoongoza hadi sasa ni hiyo ya umoja wa kitaifa?Unatakiwa kuwa mwehu ili kupingana na ukweli ambao Kagame amekuwa akiusimamia siku zote. Swali muhimu ni hili, je wakati wa mauaji ya Rwanda jumuiya ya Kimataifa ilifanya nini kuyakomesha? Hiyo inayoitwa Demokrasia haikuwepo wakati huo? Wakati JK anamshauri Kagame kuzungumza na waasi wauaji, Chama chake Dodoma mpaka leo hakitaki Serikali ya umoja wa Kitaifa Zanzibar! Chama Chake hakitaki mawazo ya Wananchi kwenye Katiba mpya! Inashangaza!
Inamaana kwamba hashauriki
Kashindwa kuungana na wapinzani wake, wanyarwanda wenzake , itakuwa nchi nyingine?Kama Africa ikiungana na Kumpa Kagame ukuu wa nchi.
Kwa Rasilimali tulizo nazo,Africa ingekuwa ni Super Power Continent Mara 50 ya America...
Paul Kagama for President of the United States of Africa.
Yaani anafikiria kubadilisha vifungu vya katiba ili agombee tena urais??? Amevurugwa huyu
Na wewe bwana ako ni nani? Au ndo huyo Kagame sio? BTW, tangu lini Kagame ameanza kushitaki wabaya wake? BTW, nani alikudanganya hapa Bongo yametushinda?! Yangetushinda tungepata nafasi ya kwenda kuvichapa vijibwa vya PK, M23?
Sasa kinachopelekea kuingilia mambo yao ninini. Fanyeni yenu yanayowahusu jengeni nchi yenu ya madivision fiveYaani wanauwana wenyewe kwa sababu za kipumbavu kabisa halafu watarajie mtu kutoka nje akakomeshe?? Hivi hujisikii angalau aibu kufananisha suala la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ZNZ na Rwanda? Serikali haitaki SUK wakati serikali inayoongoza hadi sasa ni hiyo ya umoja wa kitaifa?
kagame kweli kanaropoka na kukurupuka tu anatamani kuwa rais wa rwanda hadi kufa.
Umesahau kwamba mkishaanza kuuana huko mnakimbilia Tanzania?! Umesahau jinsi mlivyoteketeza misitu mkoani Kagera?? NSasa kinachopelekea kuingilia mambo yao ninini. Fanyeni yenu yanayowahusu jengeni nchi yenu ya madivision five