jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
NAZI walijulikana lengo lao ni nini kwenye katiba yao, je katiba ya FDLR mahali gani inasema inataka kufanya genocide? Na hakuna former NAZI soldiers walioajiriwa kuwa viongozi wa jeshi la ISRAEL, wakati makamanda wakubwa wakubwa wa FDLR hata leo hii wakitaka uwaziri ndani ya serikali ya Kagame watapewa! Huoni unafiki hapo?Hata kuna foot soldiers wa wa NAZI ambao hawakufunguliwa mashtaka..so i don't know what you want get at. Kama hawana makosa hao ndugu zako wanafanya nini huko porini?