Mlitaka kumuua ndio maana aliamua kujisalimisha icc kuepuka kifo. Paka na Hyporite Kanambe walipanga wamuue baada ya bosco kumuomba Kanambe/Joseph Kabila ampe dola laki moja ili akafanye biashara aachane kabisa na mambo ya kijeshi/vita wakaona atatoa siri zao wakapanga wamuue ndio baada ya kushtukia mchezo akaona sehemu salama ni icc. Wakongo wamelala mno, sasa wanatawaliwa na wanyarwanda wa kitusi kuanzia kanambe mwenyewe, mawaziri na jeshini wamejaa watusi wa kinyarwanda tupu. Wanajeshi wa kikongo wakijaribu kuzuia maslahi ya Rwanda wanasukiwa zengwe la kuuawa kama vile kanambe alivyomuua kanali Mamadou Ndala.