Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Ila huyu kipa Telecom anaonekana yupo vizuri kwenye penalt,hata ile ya Tambwe aliifata japo ilitoka nje
 
Penalt mbili out waombe washinde game ikiwa sare au loose tusilaumiane barabarani waulizeni taifa stars karume pale.
 
Yanga hakuna wapigaji wa penati kwan hamtambui hilo

Hili kweli ni tatizo kubwa kwa yanga aisee, timu haina mchezaji anayeaminika kupiga penati

Ingawa nimegundua ni tatizo la wachezaji wengi tu duniani, mliofuatilia upigaji wa penati wa timu zenye viwango vya soka kama Argentina mtakuwa mashahidi. Hata champions league huko majuu tatizo hili nililiona, wachezaji mastaa kabisa wanapiga fyongo penati
 
Penalt mbili out waombe washinde game ikiwa sare au loose tusilaumiane barabarani waulizeni taifa stars karume pale.

Ndio kinachofuata hivi sasa kwa hawa yanga na inaonesha hawatashinda hii mechi.
 
Ahaaaa wadau Hii ni Nini hasa naangalia me hi za CECAF kupitia DSTV Leo nimewekamo kiswahili language !!! Aisee Yale yale atangaze Mbongo yeyote match tatizo lao ni lilelile Akina Kitenge porojo tupu wao wanatangaza jambo tunaloliona sisi katika screen na wakati Ali Salem Manga anakupa events na data za Timur hiyohiyo au mchezaji na hata kama kitu kipo off screen unajua Nini kinaendelea Kuwa hili BADO tunayo mbuga ndefu yakutafuta mazuri kwenye masikio yetu haya pia huwa tunayasikia Kwa watangazaji wetu wa Azam akina Hamisi Mvula n.k ni Nini mtaala au kufanyia kazi mazoea si shule
 
Back
Top Bottom