TRUCK DRIVER
Member
- Dec 2, 2013
- 94
- 23
Umetembelea nchi ya Rwanda au umetembelea Kigali? umefika vijijini wewe? Taabu watu wengi wakitembelea kigali wanarudi na kusema wametembelea Rwanda na kuona ina maendeleo si kelele hizo watarudi na kutukana hadi nchi kuwa Tanzania bure Kabisa.Rwanda sio KIGALI pekee.
Yakweli bora umemwambi,watz wengi wanatabia ya kusifia vya watu na kudharau vyakwetu.Ukiwa Kigali utasema Rwanda inamaendeleo lkn nenda vijijini utaona,ni kweli kwamba kuna ardhi yenye rutuba lkn je kwa mwananchi wa kawaida hali ni hiyo tunayohubiriwa?