Umetembelea nchi ya Rwanda au umetembelea Kigali? umefika vijijini wewe? Taabu watu wengi wakitembelea kigali wanarudi na kusema wametembelea Rwanda na kuona ina maendeleo si kelele hizo watarudi na kutukana hadi nchi kuwa Tanzania bure Kabisa.Rwanda sio KIGALI pekee.[/QUOTE
safi sana kwa maoni yako,,, Ruanda ina ukubwa sawa na baadhi ya mkoa mmoja wa tz,, ina watu wasiozidi 6mil, mtu anataka kuicompare na tz.. sawa sawa na mtu atembelee mwanza mjini halafu atuambie eti tanzania imeendelea..
Ruanda hii watu wamesahau kuwa UN watu walikaa vikao ili kuisaidia misaada ya bure ili kuiokoa baada ya vita..
kuna watu kaka ni wavivu wa kufikili tanzania kubwa sana,,
hongera kwa maelezo yako yaliyojaa weledi mkubwa
Siasa mnajua sana wabongo nenden mkamtoe sasa.Hakuna kinachomtafuta halafu yeye anawajua wazungu kuliko nyie wabongo ...!!
lazima ajipendekeze kwa wazungu nkwa sababu ali fi...r...w...a na clintoni ili asaidiwe kutawala rwanda! Bila aibu mnajisifu kwa hilo! Amsifuye mvua ujue imemnyea!
Hili jembe la Africa tuache chuki zisizokuwa na maana.
Personally nimetembelea nchi yake on official business mtu asikudanganye jamaa wameibadilisha sana nchi yao.Actually naweza kusema wanakimbia wakati tutembea na hawana natural resources zozote uki compare na zetu.
Jamaa ana vision kubwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
lazima ajipendekeze kwa wazungu nkwa sababu ali fi...r...w...a na clintoni ili asaidiwe kutawala rwanda! Bila aibu mnajisifu kwa hilo! Amsifuye mvua ujue imemnyea!
Umepanic mbaya nigga ....!!!
Kwani GDP ya rwanda ni ngapi? na ya tz je? Maendeleo ya nchi yanapimwa kwa kigezo gani?Hayo ni maneno ya kujifariji tukubaliane na ukweli sisi mipango thabiti ya maendeleo wenzetu wametuacha hili suala la kuangalia ukubwa na wingi wa watu ni ujinga kwani Mungu aliliona hilo na ndio maana tukapewa rasilimali nyingi lakini tumeshindwa kuzitumia.
Wazungu ni watu Gan Hao.Mbongo bana ndio maana akimwona kila mtu mweupe anajua kua anajua english
Umepanic mbaya nigga ....!!!
mimi ni MTANZANIA na si nigga
wewe kwa vile mtutsi hujui maana ya kumwaga radhi, na jinsi gani isivyo common kwa mzungu kufanya hivyo!
Kwani GDP ya rwanda ni ngapi? na ya tz je? Maendeleo ya nchi yanapimwa kwa kigezo gani?
Ushahidi huu hapa chini.
KIGALI, June 25, 2013 - Swift and positive actions taken by the Government have successfully steered Rwanda towards a steady growth and positive outlook, says the Fourth Edition of the Rwanda Economic Update. According to the report, Rwandas economy has grown by a robust 8 percent in 2012, thus continuing a decade-long period of strong economic growth and claiming for the third year in a row the title of the fastest growing economy in the EAC. The report states that the strong growth in 2012 is attributed to a resilient private sector performance especially in the services sector with trade, telecommunication and transport generating about 40 percent of 2012 real GDP growth.
The World Bank foresees a broadly positive outlook for Rwanda, with growth projected at 7 percent in 2013 and 7.5 percent in 2014. According to the report, this projection assumes gradual recovery of aid in the coming period. The aid shock has demonstrated not only the Governments prudent macroeconomic management capacity, but also the vulnerability of the economy to the volatility of aid, said Yoichiro Ishihara, World Bank Senior Economist for Rwanda.
The World Bank
TANZANIA GDP ANNUAL GROWTH RATE
The Gross Domestic Product (GDP) in Tanzania expanded 6.70 percent in the second quarter of 2013 over the same quarter of the previous year. GDP Annual Growth Rate in Tanzania is reported by the National Bureau of Statistics (NBS) - Tanzania. From 2002 until 2013, Tanzania GDP Annual Growth Rate averaged 7.0 Percent reaching an all time high of 11.2 Percent in December of 2007 and a record low of 2.9 Percent in December of 2006. In Tanzania, the annual growth rate in GDP measures the change in the value of the goods and services produced by the country economy during the period of a year. This page contains - Tanzania GDP Annual Growth Rate - actual values, historical data, forecast, chart, statistics, economic calendar
Tanzania GDP Annual Growth Rate | Actual Data | Forecasts | Calendar
mimi ni MTANZANIA na si nigga
We Negro a.k.a Nigga tu from Africa the fu***n Continent.
mzungu yupo tayari kutembeza papuchi uchi kuliko kuendelea kuuona unyama wa watusi
We Negro a.k.a Nigga tu from Africa the fu***n Continent.
Tabia hii ndiyo itakayowafanya mpatwe na genocide nyingine
kagame angekuwa rais mzuri angekua kastaafu
Tabia hii ndiyo itakayowafanya mpatwe na genocide nyingine
Genocide ndio hii ya #operationtokomeza imeua na kutesa watu kama wanyama So Sad Nigga naomba tuyaache ya Kagame tuje ya Kagasheki .....b**h a**
hii kaka ndo hoja unayotakiwa kuiweka mezani na sio kutufananisha na RUANDA, tatizo la TANZANIA ni tatizo la AFRICA, tunatakiwa tuongozwe na maraisi kama HITTLER, SAADAMM, GADAFI au MAO, vinginevyo tunapoteza mda tuendelee tu kuishi hivihivi,, SOUTHAFRICA unayoisikia leo inajengwa na makaburu bado waafrika wenyewe wanakula bata, ( si tabu mbeki wala zuma wote nafikili umesikia skendo zao).
Wasomi wote watanzania ni blahblah tu hawana jipya, vijana leo hii wako shule wanafikilia utajili, dada zetu wako vyuoni wanajiuza tunawaona!!!!
inatakiwa WATANZANIA tufe nchi ianze upya kaka...
Unamaanisha nchi iwe formatted libaki eneo tu?
We ni wizi wa Mali za Congo ndo maana anaona so kutoka huko.Hili jembe la Africa tuache chuki zisizokuwa na maana.
Personally nimetembelea nchi yake on official business mtu asikudanganye jamaa wameibadilisha sana nchi yao.Actually naweza kusema wanakimbia wakati tutembea na hawana natural resources zozote uki compare na zetu.
Jamaa ana vision kubwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.