Ujumbe umekufikia ndomaana umeumia. Pole mkuuInaelekea mnalipwa vizuri sana kutangaza
Duuuu mtani kumbe wewe ni mhamiaji wa kudumu?Perezida Paul Kagame yasuye indege nshya ya rutura, iherutse kugezwa mu Rwanda na sosiyete nyarwanda ikora ingendo zo mu kirere.
Indege ya Airbus 330-200 yaguzwe akayabo ka Miliyari 200 z'amanyarwanda.
Ahahah fala sana wee jamaa unakua kama Juma pumba maharagwe bhanaN.B:ukinunua feni mbiki,moja ukashika kushoto ingine kulia,unafanana na bombadia,na kama.una mbio unaweza kupaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti fenikagame mtu mbaya sana,yaani tumemchagua atushauri,katushauri tununue feni halafu yeye kumbe pembeni kaagiza bonge la ndege afrika mashariki hakuna nchi inayolimiliki?!!
Wanaweza wakajikwaa kama sisi tulivyojikwaa mkuu.Wakati huo rwanda watakuwa wapi?
DubaiWakati huo rwanda watakuwa wapi?