Kagame adaiwa kupandikiza makachero nchini kuipeleleza Serikali… mbunge atajwa kuhusika!

Hapa jf nimeweka kwa ufupi paper yangu ya kuhusu habari ya vita za maziwa Makuu na viongozi wake hasa nchi ninayoichukia mno ya Rwanda, weka email yako nikurushie pepa nzima mumjue muuaji mnaemsifia!
Tuweke E-mail!!!!
Sidhani kama kuna atakayeweka. Isije ikawa ni mbinu ya kupata mawasiliano ya wanaJF wanaotumia ID ambazo sio halisi
 
Hivi ni kweli Rais Kagame katupenyezea...inkotanyii..very sad.
 
Hayo ni mambo ya kawaida mkuu kwa nchi yeyote kufanya.Jambo la maana kwa sisi ni kuwa na counter intelligence madhubuti ili kuwadhibiti.Nchi za Ulaya,Marekani na Urusi ndio vinara wa mambo hayo,kwa hiyo hakuna jipya.
 
WHY BRING LONG AND PAST ISSUES HAPA ZA UCHOCHEZI....MZEE WA WATU KAJIPUMZIKIA MSATA NYIE NA MAPOST YA HOVYO TUUUU
 
Hayo ni mambo ya kawaida mkuu kwa nchi yeyote kufanya.Jambo la maana kwa sisi ni kuwa na counter intelligence madhubuti ili kuwadhibiti.Nchi za Ulaya,Marekani na Urusi ndio vinara wa mambo haya mkuu,kwa hiyo hakuna jipya.
Waschana wao wakirembua tu tunatiririka.
 
Kumbe machadema yalikuwa yakimsifu sana Kagame!

Haya majamaa ni manyangau kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…