Kagame aburuzwe ICC

Kagame aburuzwe ICC

Nataka kusisitiza swala alilozungumza mwenzetu juu ya kufanya critical analysis ya situation ya Congo pasipo kurukiarukia mambo ya propaganda. Tatizo la Congo ni kabila Jn ambaye asili yake si congo bali Rwanda akiwa na special assignemnt ya watu wenye pua ndefu wakina Kgama na Museveni. Watu wa Congo wanahitaji uongozi wao na wasilazimishwe kuwa chini ya wanyarwanda. Wote tunajua kwamba baada ya Kabla Jn kukubali kuingia katika mtandao na kumuua Kabila snr ambaye si bailogical father wake, alipewa jukumu la kuirarua congo ki uchumi, ndio maana cha kwanza alichofanya ni kuua wacongo wote walioonekana kuwa hatari katika kazi yake hiyo mpya. Afrika isikubali kuwa wanafiki kwa kuweke tawala za kikoloni katika nchi ile, Kabila atoke awaache wacongo wachague serikali yao ya wacongo. Kwa hivi tunavyokwenda Tanzania na wapiga debe wengine wakiwemo Angola na /zimbabwe wanaoendelea kuua waongo kwa kisingizio cha kumsaidia kabila wana commmit genocie, damu za wacongo na ziwe juu ya Kikwete na marafiki zake
 
Uhusiano wetu na Kenya ni wa machale sana hasa ukichagizwa na tamaduni. Kenya wana aina ya superiority complex waliyokuwa nayo bila kujali kuwa ime expire katika zama hizi

Viongozi wamejaribu kurudisha mahusiano kama ulivyoshudia wakati wa uchaguzi uliopita akina Kenyatta na Odinga walikuwa hawaishi kukanyaga Dar es Salaam

Tena watu hawafahamu kuwa katika viongozi waliomtetea sana Uhuru JK ni mmoja, vinginevyo mataifa yalishaweka ngumu asigombee. Nadhani unakumbuka kila mwezi walikuwa Magogoni.
Hilo ndilo eneo la foreign policy pamoja na lile la kusuluhisha vita niyaonayo wamefanyakazi pamoja

Kwa upande mwingine mambo ya uchumi yanazidi kuwa magumu hasa baada ya vita ya pembe za ndovu Qatar na mradi wa bara bara wa Serengeti. Nakubaliana kabisa nawe kwa hilo, kwamba kunahitajika improvement

Kuna kitu kinaitwa Ukenya, kwa maana urafiki na mkenya lazima uwe na faida kwake baada ya hapo hakuna urafiki tena na hilo ndilo chanzo cha machale ya Tanzania.

Sasa hivi kuna triple K inayoendelea na EAC.
Kenya wanaangalia uchumi tu baada ya dili kukamilika utaona wanarejea Tanzania.

Watarejea TZ na kuwatosa wenzao kwasababu katika EAC sisi ndio wenye mpaka mkubwa, trade kubwa na Kenya na wao ni second investors katika TZ. Mfano, single entry visa na Kagame itamsaidiaje Mkenya! lakini akiwa na TZ ni dili. In short urafiki wa Kenya ni wa 'convinience'
Nguruvi3
mwenzangu the dream to intergration can work and it is not impossible, na ili ifanye kazi, yategemea kama mtazamo wa TZ ume evolve kutoka mtazamo iliyokuwa nayo miaka ya sabini.

kwa hili Nyerere would cunningly use the OAU, to castigate UNITA rebels, but it was also open knowledge MPLA, walikuwa wakisafirisha mizigo kutoka port of Dar-es-salaam coutesy of China and russia destined to angola. hiyo ndio ili kuwa trick kwenye kitabu cha nyerere kuimiliki muungano (OAU) kumshutumu yeyote kuwa adui. Hii doctrine bado inaendelea sana africa sasa hivi hasa kwa AU.
 
Back
Top Bottom