TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,012
- 11,406
HIyo inaweza kukupa idea ni watu wa aina gani hao...Yaani wewe MUME/MKE wa mtu mnapanga kwenda kumfumania MUMEO/MKEO bado haijaniingia akilini
Lazima wana upeo mdogo sana wa kutambua na kuchanganua mambo