mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Atapata akili pindi huyo mumewe atakapoaga dunia, atajua maisha nini, na kubwa ni kwamba wote wanne ni wazinzi tu.
una uhakika wote wawili ni wazinzi!!???
UKWELI hapa ni kwamba busara haikutumika kufanya maamuzi kama vile busara isivyotumika kuwachoma moto vibaka........ ila kusema wote ni wazinzi unakua hutendi haki........................
ingekua mie mkewe naondoka taratiiiiibu wala simuulizi