TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,010
- 11,403
HIyo inaweza kukupa idea ni watu wa aina gani hao...Yaani wewe MUME/MKE wa mtu mnapanga kwenda kumfumania MUMEO/MKEO bado haijaniingia akilini
Lazima wana upeo mdogo sana wa kutambua na kuchanganua mambo