Kafulila: Serikali ya CCM inataka kuniua

Kafulila: Serikali ya CCM inataka kuniua

sijakuelewa mkuu unaposema kafulila ni mtu mdogo wakati amechaguliwa na maelefu ya wananchi na kumbwaga mgombea wa chama tawala pia ukilinganisha na werema aliechaguliwa na mtu mmoja tu !!!kuwa na cheo si ukubwa , ukubwa ni namna mtu alivyoingia madarakani, wakati wowote rais anaweza kutengua uteuzi wa werema kitu ambacho hakiwezekani kwa kafulila.

jaji mmoja anaweza kumfuta ubunge kama mbatia pekee alivyompiga chini akakimbilia kuwa mbunge wa mahakama
 
Kafulila inabidi uchukue taadhari sana hata kwenye hoteli unakoenda kula hawa jamaa roho zao walishakabidhi kwa shetani kama WANa uwezo Wa kutupa bomu kwenye mkutano Wa chama ambako kuna watoto wadogo yaani malaika na kuongeza kwa kuwamiminia risasi wanashindwa kwako wewe kaa chonjo
 
Serikali haiwezi kuua tumbili kwani ni vivutio kwa watalii
 
Kafulila inabidi uchukue taadhari sana hata kwenye hoteli unakoenda kula hawa jamaa roho zao walishakabidhi kwa shetani kama WANa uwezo Wa kutupa bomu kwenye mkutano Wa chama ambako kuna watoto wadogo yaani malaika na kuongeza kwa kuwamiminia risasi wanashindwa kwako wewe kaa chonjo
Kwani tumbili analala hotelini?
 
CCM imeshindwa kufanya majukumu yake na sasa wanatumia mafia tactics kuangamaiza wale wanaoikosoa kwa hoja..
Its a shame
 
Escrow account ni Pesa za nani? Acheni ujinga.. msivurugwe akili na wasaka umaarufu
 
Mpambanaji Kafulila tuendelee kupambana tu sisi wananchi tupo nyuma yako. Hawawezi kuiba zaidi ya bilioni 200 za UMMA na kuziandaa kwa ajili kununulia wapiga kura mwakani na sisi tukakaa kimya. Kwa sababu wanajua bila kununua wapiga kura uchaguzi mkuu mwakani hawana chao tena .

Ni kawaida yao kujichotea fedha benki kuu na kuzitumia kununulia wapigakura ili washinde uchaguzi. Watanzania tuungane pamoja kuwapinga Magamba kwa wizi huo mkubwa wa fedha za UMMA ambazo zingeweza kuchenga sekondari kubwa nne kila wilaya nchi nzima.

Mwaka 2005 Walichota zaidi ya bilioni 200 hapohapo benki kuu wakazitumia kununulia wapiga kura na Dr. SLAA alipoibua wizi huo walimtishia kumuua lkn hawakuweza. Hata kwenye uchaguzi wa 2010 napo walimtishia sana kumuua hawakuweza; mpaka wakamtumia mtabiri na mshirikina wao Shehe Yahaya aliyekuwa anawalinda kwa majini atangaze kuwa Dr. SLAA atakufa kabla ya uchaguzi; na asipokufa basi afe yeye. Kweli hakufa akafa yeye. Mwenyezi MUNGU ni mkuu huwezi ukakufuru hivyo akakuacha.

Kwa hiyo Mpambanaji Kafulila hivyo ni vitisho tu ili uogope usitimize azma yako. Naomba vitisho vyao vizidi kukupa moyo wa kupambana zaidi na sisi tupo nyuma yako kwani ni wengi sana walishawahi kuwatisha hivyohivyo lakini hawakuweza.
 
Back
Top Bottom