amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 918
- Thread starter
- #81
Mkuu hujamwelewa tu huyo jamaa anamaanisha mtu akiongea ukweli unaogusa ufisadi wa CCM huwa anashughulikiwa kikatili.tanzania vichaa bado wengi sana wewe unayemuhukumu mwenzako kumbuka na wewe pia utahukumiwa na mungu ccm mkifanya maovu hamtaki kuambiwe ukweli kwa ujumla serikali ya ccm hawasitahili tena kuendelea kuweo madarakani wahuni hawa