Lenin V.I.U
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 218
- 62
kama hauwajui waha basi wa testi sumu kwa kuilamba, kafulila ni lulu ya wazee wa kigoma, watasafisha mmoja baada ya mwingine
Mpambanaji Kafulila tuendelee kupambana tu sisi wananchi tupo nyuma yako. Hawawezi kuiba zaidi ya bilioni 200 za UMMA na kuziandaa kwa ajili kununulia wapiga kura mwakani na sisi tukakaa kimya. Kwa sababu wanajua bila kununua wapiga kura uchaguzi mkuu mwakani hawana chao tena .
Ni kawaida yao kujichotea fedha benki kuu na kuzitumia kununulia wapigakura ili washinde uchaguzi. Watanzania tuungane pamoja kuwapinga Magamba kwa wizi huo mkubwa wa fedha za UMMA ambazo zingeweza kuchenga sekondari kubwa nne kila wilaya nchi nzima.
Mwaka 2005 Walichota zaidi ya bilioni 200 hapohapo benki kuu wakazitumia kununulia wapiga kura na Dr. SLAA alipoibua wizi huo walimtishia kumuua lkn hawakuweza. Hata kwenye uchaguzi wa 2010 napo walimtishia sana kumuua hawakuweza; mpaka wakamtumia mtabiri na mshirikina wao Shehe Yahaya aliyekuwa anawalinda kwa majini atangaze kuwa Dr. SLAA atakufa kabla ya uchaguzi; na asipokufa basi afe yeye. Kweli hakufa akafa yeye. Mwenyezi MUNGU ni mkuu huwezi ukakufuru hivyo akakuacha.
Kwa hiyo Mpambanaji Kafulila hivyo ni vitisho tu ili uogope usitimize azma yako. Naomba vitisho vyao vizidi kukupa moyo wa kupambana zaidi na sisi tupo nyuma yako kwani ni wengi sana walishawahi kuwatisha hivyohivyo lakini hawakuweza.
Kwanza akajibu case yake..Serekali toka lini ikataka kuuwa unknown person..Huyu elimu ya darasa 7 anataka umarufu
huyu nae atakuja awe kama machadema asipoangalia vizuri
Wewe ndo known person!! wewe msomi uliyekubuhu! [kiburi] na ambaye umeumbwa kwa ufundi woote!! Pole! we are equal in the eyes of God!
The more wisdom I gain in life,the more I understand we are all equal.No one is better than anyone else by virtue of money,skills,talents they possess
Pesa ya serikali ni ya wananchi, ya shirika la umma ni ya wananchi na pesa yoyote itokanayo na shughuli za shirika hilo au serikali ni za wananchi!!!!!
Wananchi kwanza mengine baadaye, kama kuna hoja iwekwe ijitegemee sio kusema pesa sio za wananchi!!!!!!
Wakati authorization ya pesa hizo inafanywa na viongozi wa umma!!!!!!!????
Hoja ya hovyo sana na inatia hasira!!!!!
.Sijakuelewa mkuu unaposema Kafulila ni mtu mdogo wakati amechaguliwa na maelefu ya wananchi na kumbwaga mgombea wa chama tawala pia ukilinganisha na Werema aliechaguliwa na mtu mmoja tu !!!Kuwa na cheo si ukubwa , ukubwa ni namna mtu alivyoingia madarakani, wakati wowote Rais anaweza kutengua uteuzi wa Werema kitu ambacho hakiwezekani kwa Kafulila.
tanzania vichaa bado wengi sana wewe unayemuhukumu mwenzako kumbuka na wewe pia utahukumiwa na mungu ccm mkifanya maovu hamtaki kuambiwe ukweli kwa ujumla serikali ya ccm hawasitahili tena kuendelea kuwepo madarakani wahuni hawaLazima atauawa kwani anataka kuzuia fedha za ESCROW zilizochukuliwa na CCM ili kununulia wapinzani na wapiga kura mwakani. Kama atahurumiwa lazima ang'olewe kucha na meno kama fundisho.