MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Kwataarifa kutoka watu muhimu waliokwenyemchakato wa Hamad Rashid wa Kuanzisha chama chake cha Allience for Demokratic Party(ADP)zinataja safu ya Uongozi wa chama hicho kuwa kama ifutavyo;-
MWENYEKITI:HAMAD RASHID
MAKAMU MWENYEKITI:KAFULILA
KATIBU;FESTUS LIMBU(Alikuwa mgombea wa CUF temeke amekubali kuwa mfuasi wa Hamad Rashid baada kupewa fedha nyingi na kuahidiwa ukatibu wa ADP
MKURUGENZI WA HABARI;HASAN DOYO(Alikuwa mwenyekiti wa CUF handeni akafukuzwa CUF)
MWENYEKITI:HAMAD RASHID
MAKAMU MWENYEKITI:KAFULILA
KATIBU;FESTUS LIMBU(Alikuwa mgombea wa CUF temeke amekubali kuwa mfuasi wa Hamad Rashid baada kupewa fedha nyingi na kuahidiwa ukatibu wa ADP
MKURUGENZI WA HABARI;HASAN DOYO(Alikuwa mwenyekiti wa CUF handeni akafukuzwa CUF)