Kwataarifa kutoka watu muhimu waliokwenyemchakato wa Hamad Rashid wa Kuanzisha chama chake cha Allience for Demokratic Party(ADP)zinataja safu ya Uongozi wa chama hicho kuwa kama ifutavyo;-
MWENYEKITI:HAMAD RASHID
MAKAMU MWENYEKITI:KAFULILA
KATIBU;FESTUS LIMBU(Alikuwa mgombea wa CUF temeke amekubali kuwa mfuasi wa Hamad Rashid baada kupewa fedha nyingi na kuahidiwa ukatibu wa ADP
MKURUGENZI WA HABARI;HASAN DOYO(Alikuwa mwenyekiti wa CUF handeni akafukuzwa CUF
Nenda ukajipange then ndio ulete data zako huku....tushachoka na uzushi
Ndug uweka Source ulipoipata. kwa taarifa tunajua kuwa kafulila ni Mbunge wa NCCR. Sasa na hiyo ADP imetoka wapi tena kwani inawezekana mtu kuwa na vyama vya siasa viwili kwa wakati mmoja??
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
ORS umempa?Ushamaliza uharo wako??
kwataarifa kutoka watu muhimu waliokwenyemchakato wa hamad rashid wa kuanzisha chama chake cha allience for demokratic party(adp)zinataja safu ya uongozi wa chama hicho kuwa kama ifutavyo;-
mwenyekiti:hamad rashid
makamu mwenyekiti:kafulila
katibu;festus limbu(alikuwa mgombea wa cuf temeke amekubali kuwa mfuasi wa hamad rashid baada kupewa fedha nyingi na kuahidiwa ukatibu wa adp
mkurugenzi wa habari;hasan doyo(alikuwa mwenyekiti wa cuf handeni akafukuzwa cuf)
Usipate presha hizo ni Radio za MapuaNdug uweka Source ulipoipata. kwa taarifa tunajua kuwa kafulila ni Mbunge wa NCCR. Sasa na hiyo ADP imetoka wapi tena kwani inawezekana mtu kuwa na vyama vya siasa viwili kwa wakati mmoja??
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!