ISRAEL JR
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 1,442
- 632
Kweli Kafulila anamsaidia sana Rais basi ni hivyo hana bahati tu.View attachment 2944740
=====
Kamishina Mkuu wa Ubia katika Serikali na Sekta Binafsi nchini ( PPP) Mhe David Zachari Kafulila amefafanua haya alipokuwa akihojiwa na Televisheni ya Globali,
Mhe David Zacharia Kafulila amesema katika dhana pana ya Uchumi kuna uhusiano wa Moja kwa Moja kati ya Umasikini wa huduma na Umasikini wa kipato,
Mhe David Zacharia Kafulila anaonesha umuhimu wa Ujenzi wa miundombinu ( Vitu ) katika kukuza uchumi wa huduma ambao nao unakuza uchumi au kipato Cha mtu mmoja mmoja( Watu)