Kafulila: Kifo cha Mgimwa kichunguzwe

Kafulila: Kifo cha Mgimwa kichunguzwe

Mwongo tu Kafulila huyo, hana lolote, kala hela za watu fulani ili akwamishe bajeti.

Kukwamisha bajeti hawezi hata kidogo,ccm kura watapiga watashinda hivo bunge la bajeti haliwezi kuwa na jipya lakini Kafulila kafikisha ujumbe na wenye masikio wamesikia alichokisema,kuhusu kununuliwa kama ni kweli basi aliyemnunua anategemea kupata nini kama ni uongo ili hali badae ukweli utajulikana!
 
Thread kama hizi rafiki zangu Ritz, Msalani, Rejao, Chama, FaizaFoxy et al... siwaoni. Karibuni kwa maoni wakuu. Hali ni tete.
 
Kiukweli hadi maCCM yakampa ubunge mtoto ambae anaishi ughaibuni inatia shaka na kama watu wanawaza kwa mbali basi kuna harufu ya umafia ikiwa Mgimwa amekuwa Waziri wa pili kufariki akiwa Waziri wa fedha baada ya Sioi wa Meru. Je hii ni bahati mbaya??!

Kwa nini mawaziri hawa wa fedha baada ya kufariki watoto wao ndio wakachaguliwa kurithi ubunge??!! Je sio kama kuiziba familia mdomo??!!

Kwa nini basi pale Chalinze Mbunge alipifariki mtoto wake hakupewa kurithi baadala yake akapewa Riziwani??!!

CCM inakuwa kundi la kimafia!!
Hata Kigoma Malima alikuwa waziri wa Fedha. Naye baada ya kifo mtoto Adam akaukumba ubunge na unaibu waziri.
 
Duh!!! Kijana Kafulila jichunge na mdomo wako!!!! unamwagia vitumbua vya wakubwa wa lichama Chakavu (CCM) mchanga! kumbuka bado msitu wa mabwepande upo!!!!

kumbe ndo mnapofanyia umafia wenu huko c.c.m
 
Wapinzani wa nchi hii ni waongo kama shetani. Wako tayari kutunga uzushi wowote ule ilimradi wakidhi matakwa yao ya kisiasa.
 
Alipoambiwa awasilishe ushahidi mezani amegoma na kakimbia bunge

Vipi ndugu mbona unaandika pasipo kufikiria? amesema kifo hiki kichunguzwe hili suala la kuambiwa alete ushahidi linatokea wapi tena, kwani amesema Mgimwa kauliwa?
 
Kiukweli hadi maCCM yakampa ubunge mtoto ambae anaishi ughaibuni inatia shaka na kama watu wanawaza kwa mbali basi kuna harufu ya umafia ikiwa Mgimwa amekuwa Waziri wa pili kufariki akiwa Waziri wa fedha baada ya Sioi wa Meru. Je hii ni bahati mbaya??!

Kwa nini mawaziri hawa wa fedha baada ya kufariki watoto wao ndio wakachaguliwa kurithi ubunge??!! Je sio kama kuiziba familia mdomo??!!

Kwa nini basi pale Chalinze Mbunge alipifariki mtoto wake hakupewa kurithi baadala yake akapewa Riziwani??!!

CCM inakuwa kundi la kimafia!!

CCM haikumpa ubunge Mgimwa Jr, bali wanakalenga. Hizo porojo unazotaka kutuaminisha kawahadithie watoto wadogo wasiojitambua.
 
Back
Top Bottom