Akichangia sasa hivi mh.kafulila ametaka kifo cha waziri mgimwa kichunguzwe
Amesema iwapo nchi ingekuwa makini,ndio hilo lingefanyika!lakini kwa nchini hii hilo haliwezekani.
Ametoa mawazo yake na ni lazima tuyaheshimu. Only God knowsAmesema iwapo nchi ingekuwa makini,ndio hilo lingefanyika!lakini kwa nchini hii hilo haliwezekani.
Mbona hawahoji fedha za ruzuku anazopewa Mbatia jinsi zinavyotumika?Amesema kweli,muda mfupi tu baada ya kukata kauli pesa zinchotwa.Mh!pana harufu ya panya aliyekufa.
Amesema iwapo nchi ingekuwa makini,ndio hilo lingefanyika!lakini kwa nchini hii hilo haliwezekani.
kayasema hayo huku mwanae mgimwa akiwepo ndani!, kwa jicho la mbali najiuliza ni kwann ccm ilmptisha mwanae kugombea kalenga ili hali alikuwa mgeni wa siasa, na wapo wanachama wengi na wenye uwezo waliachwa!
Alipoambiwa awasilishe ushahidi mezani amegoma na kakimbia bunge
Alipoambiwa awasilishe ushahidi mezani amegoma na kakimbia bunge
Alipoambiwa awasilishe ushahidi mezani amegoma na kakimbia bunge
Mbona hawahoji fedha za ruzuku anazopewa Mbatia jinsi zinavyotumika?
kayasema hayo huku mwanae mgimwa akiwepo ndani!, kwa jicho la mbali najiuliza ni kwann ccm ilmptisha mwanae kugombea kalenga ili hali alikuwa mgeni wa siasa, na wapo wanachama wengi na wenye uwezo waliachwa!