KAFULILA aeleze alipata wapi Shahada ya "BBA" na Mwaka gani

KAFULILA aeleze alipata wapi Shahada ya "BBA" na Mwaka gani

malagarasi

Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
12
Reaction score
3
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, imenishangaza kuona kafulila akiwa amelidanganya bunge la Tanzania na Dunia nzima kuwa yeye ni Graduate wa BBA(UDSM), huku ikijulikana kuwa hakumaliza chuo bali alifukuzwa akiwa mwaka wa kwanza ambapo alikuwa anasoma Evening class udsm. Tunamtaka atueleze hiyo BACHELOR OF BUSINESS ADMINISTRATION aliipata wapi na mwaka gani?

Aidha Bunge nalo linashangaza kwa kukubali kudanganywa kirahisi, hivi ina maana Bunge letu huwa haliagizi wabunge wake wakawasilisha vyeti vyao ili kuvihakiki? Tunataka Bunge nalo litueleze ukweli juu ya Shahada ya BBA ya David Kafulila imetoka wapi?

Huu ni ufisadi mwingine, Kinachoeleweka Kafulila ni Form six leaver tu. Mbaya zaidi Bunge limechapisha sifa za kitaaluma za kafulila na kuweka kwenye website kuwa kafulila ni graduate wa BBA,aliipata wapi na lini? Ufisadi hadi kwenye kughushi elimu! maajabu haya. Twende UDSM wakatueleze kafulila alimaliza lini? Na Bunge litueleze wamepata wapi wasifu huo wa elimu ya Kafulila kama siyo ufisadi?
 
Hii biashara uliyoanza kwa vyovyote itakulipa sana, Maana umeonyesha unavyoweza kutii matakwa ya wabaya wa kafulila, ingawa haitushangazi kwani tuliona Bashe, Mzee Ulimwengu na wengine walishassemwa si raia ila baada dill yao kukamilika waliachwa. mwache kafulila ahangaike na kufukuzwa kwake ndani ya chama inatosha.
 
Bado ninsistiza, atueleze aliipata wapi na vyeti vyake vipo wapi? inaeleweka kuwa mpo wapenzi wa kafulila ambao mliwahi kuwashikia bango mawazili kadhaa kuwa ni mafisadi wa elimu, tunamtaka na jamaa yenu atueleze alisoma na kupata wapi shahada yake ya kwanza katika BBA na siyo kuja kubwabwaja? Atueleze, amezoea kusema uwongo sasa amekamatwa pabaya waziwazi, ktk hili hawezi kukwepa, akanunue vyeti udsm tuone kama anaweza. Aliipata wapi shahada yake? Umma unataka kujua, siyo kusema sema uongo halafu adhani hatujui
 
wale wa CCM waliposema wamegushi elimu tulimsema sana Jk kwa nini hatoi maamuzi magumu kuwatimua kazi sasa ni zamu yetu kuchukua maamuzi magumu kujadili kwa maslahi ya taifa elimu ya kafulila kwani anaweza kuwa waziri na hata Rais hapo baadaye kama tutashindwa kumhoji leo
 
Bado ninsistiza, atueleze aliipata wapi na vyeti vyake vipo wapi? inaeleweka kuwa mpo wapenzi wa kafulila ambao mliwahi kuwashikia bango mawazili kadhaa kuwa ni mafisadi wa elimu, tunamtaka na jamaa yenu atueleze alisoma na kupata wapi shahada yake ya kwanza katika BBA na siyo kuja kubwabwaja? Atueleze, amezoea kusema uwongo sasa amekamatwa pabaya waziwazi, ktk hili hawezi kukwepa, akanunue vyeti udsm tuone kama anaweza. Aliipata wapi shahada yake? Umma unataka kujua, siyo kusema sema uongo halafu adhani hatujui

we machali hauna maana,umepewa cheo chake na huyo Bwabwa,umesababisha Kafulila afukuzwe ubunge bt still unafuatafuata au kakuchulia Mkeo/demu wako! Kama hana BBA au anayo we dont call..
 
Haa haa haa, hili povu sio bure. Mimi nikushauri tu unapowasilisha mada kama hizi usipende sana kutumia neno (TU) e.gTunamtaka atueleze, Tunataka Bunge nalo, huu ni mtazamo wako tumia kauli za kuonyesha UMOJA kana namtaka, nataka bunge nalo............

Halafu sidhani kama shida yetu kwa sasa ni kujua nani ana vyeti feki au lah, well inawezekana ni ufisadi, ila jitokeze kwenye kupinga ufisadi wa maana basi, sio huu ambao unaonesha kbs wewe una chuki naye, anyway anza kuanzia ngaz ya juu basi. Kwan ushawah kufkiria JK anapataga wapi maUdokta yake???? Ulifwatilia undani wa Degree ya Mkulo na Lukuvi??Elimu cku hiz utolew kwa njia nying, huitaji kumuona mtu kakalia dawati ndo ujue anasoma unless kazi yako itakuwa ni kuchunguza maisha ya mtu 24/7 hours. Huu ni mtazamo wangu!!!
 
Nchi yetu ni ya kughushi mkuu,hata mkulo haijulikani ana ka diploma ka wapi.mpaka leo maeneo ya wazi hayajarejeshwa kwa wananchi kwa hati za bandia
 
tunataka atueleze aliipata wapi? hata machali ana haki ya kuhoji iwapo anaelewa kuwa kafulila kalidanganya bunge kuhusu elimu yake?hoja ya msingi ni kafulila atueleze alisoma wapi na lini? kwa kuwa ni kfulila maneno kama ya chuki yameanza,ila kwa lukuvi, nchimbi,mkulo wakihojiwa elimu zao na kuitwa mafisadi wa elimu safi. Atueleze ilipata wapi hiyo BBA
 
tunataka atueleze aliipata wapi? hata machali ana haki ya kuhoji iwapo anaelewa kuwa kafulila kalidanganya bunge kuhusu elimu yake?hoja ya msingi ni kafulila atueleze alisoma wapi na lini? kwa kuwa ni kfulila maneno kama ya chuki yameanza,ila kwa lukuvi, nchimbi,mkulo wakihojiwa elimu zao na kuitwa mafisadi wa elimu safi. Atueleze ilipata wapi hiyo BBA

Mto Malagarasi una mamba na Kenge wengi sana
 
msemakweli tulimpongeza sana kulipua vigogo wa CCM wenye vyeti bandia lakini Malagarasi hatutaki kumpongeza pengine kafulila naye ana vyeti bandia na amefanya hivyo kwa sababu anajua sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika kwa hiyo elimu ya juu sana si ya kuhoji sana ni kama added advantage
 
haya mambo ya kufuatiliana kiasi hiki ya nini jamani? mwacheni apige kazi, kama na yeye alipewa zawadi ya BBA mwacheni ni ya kwake utafatilia wangapi wewe ndugu yangu? Kafulila piga kazi kaka achana nae, na kama huna hako kaelimu basi katafute ili tuone atakuja kusema nini
 
Back
Top Bottom