Kafara za ngono

Nasikia siku hizi kwenye kafara kuna menu kabisa kama M pesa

1:kushiriki mapenzi kinyume na maumbile,unaweza ukawa unagongwa sio kwa ridhaa yako au ww uwe unawatafuna tuu
 
Kwakweli hapa mnakosea sana kusema zile video ni halisi!

Siamini katika Mungu na Miungu ila kwa hili nasimama na Gwajima.

Kile tunachokiona sio gwajima kafanya bali ni mtu kaamua kumchafua tu kwa sababu anazozijua yeye.
Duuu hata wewe... Ok OK sawa.... Lazima tutofautiane mitazamo...lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia
 
Nasikia siku hizi kwenye kafara kuna menu kabisa kama M pesa

1:kushiriki mapenzi kinyume na maumbile,unaweza ukawa unagongwa sio kwa ridhaa yako au ww uwe unawatafuna tuu
 
Ulikuwa kwenye mind yangu na asante sana Ndivyo initiation ya kuingia cheo kingine cha Freemason inavyotaka lazima ufanye kafara kama lile na uliweke wazi ili mgodi uteme
 
Unachopinga ni nini?
 
Ulikuwa kwenye mind yangu na asante sana Ndivyo initiation ya kuingia cheo kingine cha Freemason inavyotaka lazima ufanye kafara kama lile na uliweke wazi ili mgodi uteme
kuna watu wanasoma hizi habari kama gazeti la umbea
 
Aiseee hili jibu linanipa utata sana. Mshana majibu yako huwaga ya namna yake aisee.
Kumbe statement Ya swali lake ulishaiweka kwenye maelekezo ya hapo awali duh
 
Kweli mkuu hapa kuna dalili ya mshana kutumia akili za kuambiwa
 
Binafsi sikumuelewa kabisa pale aliposema "na dili na alie nyuma ya hili tukio, sipigi alie mbele napiga alie nyuma me nilifikiri yameisha kumbe ndiyo yameanza, na ninaahidi mwaka huu itakuwa vikali kuliko hapo awali"

Na wahumini wakapiga makofi na kushangilia sijui walimuelewa.
 
Nyie mnaopalilia ishu kama hizi lazima mchunguzwe haiwezikani muwe hamuhusiki na hii issue. Maana kwa vyovyote vile perpetrator hawezi kurudi kwa account ileile aliyotumia kupost kuendeleza kupulizia mambo aliyoyaweka. Nyie mnaoshabikia ndio hasa mnahusika. Hata average minded intelligence expert wa aina yeyote hawezi kuacha kuwafuatilia.
 
Dunia simama nishuke... Mambo ni mengi muda mchache
 
Kaka Mshana, ile video ni ya kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…