Kafanya kosa gani??

Kafanya kosa gani??

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
......,
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    38.9 KB · Views: 484
pengine alikuwa kt maandamano huku mtwara akipigania gas kwanza uhai baadaye au harakati za move for change.
 
Hahahahahahah mwanammke kakaz huyo duh anafaa kuwa jeshi.
 
Atakuwa anadaiwa na mama ntilie

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mke wake (huyo baunsa) kamfumania na nungayembe fulani, anamrudisha home sasa wakaongee
 
kalipiwa ada hataki kwenda shule .............. anakaa kijiweni kucheza bao/karata!!
 
anarudishwa nyumbani ili akachukue jembe akalime ili ailee familia....maandamano ya vyama uchwara na vya kuchumia tumbo hayana tija kwa familia.
 
Nilikuwepo eneo la tukio. Huyu dogo alikimbilia katika pool table baada tu yakumaliza lunch.
Alisahau wajibu wake wa kusafisha sahani aliotumia kwa chakula
 
Back
Top Bottom