Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,298
- 40,100
- Thread starter
- #21
Kwa nini mkuu wangu [emoji28]Unatafuta ban nyingine hahahh
Kwa nini mkuu wangu [emoji28]Unatafuta ban nyingine hahahh
Ngoswe mwanzilishi wa chama cha mabahariaNgoswe alifaidi sana kisses kwa Mazoea kule mtoni kabla ya kufumwa na Mama Mazoea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoswe mwanzilishi wa chama cha mabaharia
Ngoswe baharia hatari sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaonekana ipo hivyoNi kwamba walikua wanafanyia karibu na dirisha
Mzee Mitomingi alikuwa noma, alimpa pombe aina ya Mnazi hatimaye Ngoswe kaangusha Gari na kuchoma nakala zote za Sensa[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoswe baharia hatari sana
Ila yule mzee alimkomesha
Ingekuwa kipindi hiki angepasuliwa na yai kunakoMzee Mitomingi alikuwa noma, alimpa pombe aina ya Mnazi hatimaye Ngoswe kaangusha Gari na kuchoma nakala zote za Sensa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoswe alijaa kingMzee Mitomingi alikuwa noma, alimpa pombe aina ya Mnazi hatimaye Ngoswe kaangusha Gari na kuchoma nakala zote za Sensa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingekuwa kipindi hiki angepasuliwa na yai kunako
Nakumbuka kuna siku nilikoswa koswa na kibao chambuzi kilikua kimetegeshwa juu ya kabati la vyombo...kujitia ufundi watu tupo jikoni purukushani mzigo ukatua sentimita chache pemben ya kichwa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siwezi sahau aisee
Walikua ghorofani !Babie Swalehe mie sijaelewa mkuu
Ina maana walikuwa wanafanyia kwenye paa au wapi hasa?
Ingekua poa sanaKuna chuda mmoja alikoswakoswa kufyekelewa mbali mikono yake na feni lile la pangaboi. Ile staili ya kumbebelea mikononi ke huku ukizunguka nae chumba kizima unammbato kakushika shingoni, chuma kilipokolea si akajiachia mkono mmoja kaunyosha juu ayayaaa! ayaaa! ayayaaaa! almanusra feni lipitie mkono wake
Kuna chuda mmoja alikoswakoswa kufyekelewa mbali mikono yake na feni lile la pangaboi. Ile staili ya kumbebelea mikononi ke huku ukizunguka nae chumba kizima unammbato kakushika shingoni, chuma kilipokolea si akajiachia mkono mmoja kaunyosha juu ayayaaa! ayaaa! ayayaaaa! almanusra feni lipitie mkono wake