Kadogosa: Tumetumia umeme wa 336,000 kwenda na kurudi Dar - Morogoro

Ungejua mimi ninafanya issue gani usingesema kitu hicho nimekuambia treni lina mita kama za kenye gari tumia akili kama vipi google ujue treni zinatumia unit ngapi kwa 1km....mlio mpinga jpm mnaanza kuwewe seka baada ya kuona akilikubwa ya mzalendo kiuchumi hii ndiyo sababu nchi jirani zinazo zunguka tz kuachana na reli ya kenya na kuangalia kijiunga na ya tz hadi mchina wa kenya alivunjika moyo kwa sababu ya vision ya jpm siyo huyu kahaba anaye nunua saa 4 kila moja kanunua mil 200 na shanga za kiunoni za mil67 na vikuku na vupi vya halili vya sh mil 1 kila kimoja kana kwama hakivaa hivyo vitu hatokufa na kuoza kaburini ..... ukisikia msemo wa mazaa faka ndiyo huyu sasa ....stupid muisiharamu
Naona unatoka nje ya mada BTW, hawawezi kutumia umeme wa 336,000, Kwa 178KM from Dar to Moro, haipo na haitokuwepo.
 

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) imetumia umeme wa Sh336,000 katika safari ya abiria ya majaribio kutoka jijini Dar es Salaam mpaka Morogoro na kurudi leo Februari 26, 2024.

“Miundombinu ya treni ya umeme ni gharama kubwa ukilinganisha na ile ya inayotumia mafuta lakini kwenye gharama za uendeshaji wa treni ya mafuta ni mara tatu ukilinganisha na treni ya umeme,” amesema Kadogosa alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM.

Akizungumzia kuhusu nauli za abiria zitakazotumika, Kadogosa amesema shirika hilo limewasilisha mapendekezo yake kwa Latra yenye jukumu la kutangaza nauli hizo.

Ameongeza kuwa, upatikaaji wa mizigo mingi utachangia kupungua kwa nauli kwenye treni ya abiria na kufanya watu wengi wawe na uwezo wa kumudu bei za kupanda treni hiyo.

“Tunatarajia kupata fedha zaidi kwenye mizigo na ndio maana unaona tunajenga reli kwenda Msongati sababu kuna machimbo ya Nikel, tunakwenda kwa sababu tutapata mzigo kutoa kule na kupeleka bandarini. Upatikanaji wa mzigo ndio utatufanya tusiwe na bei kwenye treni ya abiria,” amesema.

Treni ya umeme ya abiria imefanya safari ya kwanza ya majaribio hii kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro huku ikitumia takribani saa nne kwenda na kurudi.
Kama kwa bei hiyo basi nauli haitakiwi kuzidi elfu 10 na dar dodoma haitakiwi kuzidi elfu 20.
 
Basi kama hivyo, nauli ziwe chini zaidi, sababu wameenda na kurudi kwa laki 3 na ushehe, that means kwenda tu ni umeme wa laki na 60 na kitu hivi.
kama hiyo ni kweli hajatudanganya, aisee mbona inatumia umeme mdogo sana? watapata faida kubwa. tuangalie, umejaza wese V8 kwenda na kurudi morogoro utatumia mafuta ya shilingi ngapi? au tuseme scania limejaza kontena huma huko kwenda na kurudi moro utatumia wese la 330,000?
 
Hii ni habari njema kwa matumizi ya umeme wa 333k, sasa mtupunguzie nauli ya 25k. Tunawasihi sana!
 
Sasa mnataka aseme wametumia wa milioni 2 ili kukufurahisha wewe? Majitu mengine mkoje?
Usipanick mkuu,ni kitu kigeni na lazima kila MTU awe na mtazamo wake. Train ya umeme kibongobongo wengine tunaishangaa.
Binafsi nilidhani dar Moro ni less than an hour,pia nilijua umeme umeungwa moja Kwa moja hakuna tena kuhesabiana gharama.
Yaani Mambo ni mengi so tuelimisheni sio Kwa matusi na masimango Bali Kwa upole na upendo.
 
Usipanick mkuu,ni kitu kigeni na lazima kila MTU awe na mtazamo wake. Train ya umeme kibongobongo wengine tunaishangaa.
Binafsi nilidhani dar Moro ni less than an hour,pia nilijua umeme umeungwa moja Kwa moja hakuna tena kuhesabiana gharama.
Yaani Mambo ni mengi so tuelimisheni sio Kwa matusi na masimango Bali Kwa upole na upendo.
Asante mkuu nimekuelewa! Twende taratibu. Umeme lazima ulipwe haiwezi kwenda bure!
 
Tusingeweza kutoa maelezo hayo kutoka na hadhira.hayo mengine ataelezwa CAG kwa niaba yako na wengine, wewe tosheka na ulichoambiwa kwa Sasa.
taarifa nusu nusu zinakuja kufanyaje hadharani?, siwezi tosheka bila ufafanuzi zaidi, tumezoea gari ikiwa na mzigo mkubwa speed yake hushuka/hupungua, mafuta hutumika mengi zaidi n.k..tunahitaji kujua kwenye treni huku vipi?
 
Sasa ikawaje nauli walizopendekeza hazikamatiki kama gharama za uendeshaji zipo chini?
 
Back
Top Bottom