Kumbe hata wewe hulijui, mlei sio mtu mwenye uelewela mdogo bali ni mkatioliki asiye na daraja takatifu, yaani asiye padre au mtawaBila shaka naongea na mlei kwelikweli ( kwenye kanisa katolii kuna watu wanaitwa walei) hawa ni watu wenye uelewa mdogo wa mambo ya kanisa kama wewe..!