Kama huna kadi wewe si mwanachama hai, bali shabiki hai wa chadema.
Kadi za chama zipo, labda uelezee location yako ili upate msaada zaidi!
Mkuu unafikiri wana JF wote ni wakzi wa Dar?kama unakuja dar ukiwa posta panda gari za mwananyamala shuka kituo kndn manyanya ulizia ofisi za chadema ukiwa ubungo panda gari za msasani shuka manyanya, ukiwa mwenge panda gari za kariakoo shuka manyanya, ukiwa temeke panda gari za msasani au kawe shuka manyanya na ukiwa kariakoo panda gari za mwenge,kawe au tegeta shuka manyanya ulizia ofisi za chadema makao makuu utaelekezwa .
kama unakuja dar ukiwa posta panda gari za mwananyamala shuka kituo kndn manyanya ulizia ofisi za chadema ukiwa ubungo panda gari za msasani shuka manyanya, ukiwa mwenge panda gari za kariakoo shuka manyanya, ukiwa temeke panda gari za msasani au kawe shuka manyanya na ukiwa kariakoo panda gari za mwenge,kawe au tegeta shuka manyanya ulizia ofisi za chadema makao makuu utaelekezwa .