only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
mimi nataka magwanda ya chadema ntapata wapi dar
Ishu ya magwanda wengi uwa tunashona wenyewe tu...maana inategemeana na mshono unaoutaka,kuna yale ya kimapambano,kuna yale ambayo unaweza hata ingia nalo bungeni kama anayovaa mara nyingi M/kiti wetu kamanda Mbowe..Sasa inategemeana na wewe unapenda lipi.