Kadi za CHADEMA zagombaniwa chuoni

Kadi za CHADEMA zagombaniwa chuoni

Uzuri wa mambumbumbu wa cdm ni kwamba we andika tu humu mtaani kwamba sasa hivi tunakusanya kadi zote za chama makiniCCM na tumeshagawa kadi milioni 80 na bado tunaendelea, mambumbumbu yatakenua moto na kuanza kusema chademani mpango wa mungu au miungu. Hawa watu huwa siwaelewi hawafanyi hata utafiti kidogo kujua lililoandikwa li sahihi au la. Yanashabikia utumbo kila kukicha na nadhani yapo kama matatu humu ndani kwa kubadiri Id:love: Sina uhakika na uelewa wao lakini nadhani ni hafifu ajabu.Wanajua kwamba jf ni mtambo wa majungu na mwongozo wa malofa bado ulofa umeshika kasi na kufikiri hata kama kibaby ni sifuri:rolleyez: People do not wish to appear foolish; to avoid the appearance of foolishness, they are willing to remain actually fools. Ahaaaa- Any fool can make a rule, and any fool will mind it:target:Until you're ready to look foolish, you'll never have the possibility of being great:shut-mouth:

Lumumba fc
 
CHADEMA,CCM,CUF,TLP nk
Wote wagonjwa tu,bora nibaki mtanzania huru nisie na chama.
 
Ukombozi waja Tabora, influence ya wasomi hao itawaimpact waswahili wanywa kahawa na wacheza bao wa ng'ambo, kanyenye, isevya na kiloleni.
 
Ningeshangaa sana kumwona kijana mwenye uelewa wa hali ya juu huko SAUT akitaka tuendelee kufanya kitu kile, na watu walewale kama baba zao walivyofanya kwa miaka 50, na kutarajia tujikwamue.

Only absolutely mediocre youngsters would support ccm at this juncture.

Sasa hizo kadi labda zilipiganiwa lakini hazikugombaniwa. Kulikuwa na ugomvi?
 
CHADEMA,CCM,CUF,TLP nk
Wote wagonjwa tu,bora nibaki mtanzania huru nisie na chama.

Kura pia uwa upigi.Halafu ikija mijadala ya matatizo tuliyo nayo hapa nchin inayosababishwa vingooz wabovu ukosi kuchangia na kulalama.
 
Kura pia uwa upigi.Halafu ikija mijadala ya matatizo tuliyo nayo hapa nchin inayosababishwa vingooz wabovu ukosi kuchangia na kulalama.

Kura ni haki ya kila mtanzania mwenye akili timamu na umri usiopungua miaka 18. Kura sio haki ya mwanachama tu.
 
Back
Top Bottom