Kadi za CHADEMA zagombaniwa chuoni

Kadi za CHADEMA zagombaniwa chuoni

Jana kulikuwa na ugawaji wa kadi wa CHADEMA katika chuo cha SAUT Tabora na mara baada ya tangazo la uwepo wa kadi vijana walionekana wakipigana vikumbo kupata kadi hizo, ambapo baada ya mfupi kadi ziliisha.

Nilijaribu kuongea na baadhi ya vijana kwanini wamegombania kadi ya CHADEMA wakasema ''kuwa na kadi ya CHADEMA ni uzalendo na kuonyesha unaipenda nchi yako''

Hongera CHADEMA kwa kukubalika na wasomi wetu.


Wapo wajinga watakaoamini upuuzi huu.
 
Jana kulikuwa na ugawaji wa kadi wa CHADEMA katika chuo cha SAUT Tabora na mara baada ya tangazo la uwepo wa kadi vijana walionekana wakipigana vikumbo kupata kadi hizo, ambapo baada ya mfupi kadi ziliisha.

Nilijaribu kuongea na baadhi ya vijana kwanini wamegombania kadi ya CHADEMA wakasema ''kuwa na kadi ya CHADEMA ni uzalendo na kuonyesha unaipenda nchi yako''

Hongera CHADEMA kwa kukubalika na wasomi wetu.

Nawapa Big Up hao wanachuo!
Mungu Ibariki CHADEMA!
 
kuchukua kadi peke yake hakutoshi, bali wajiandikishe, wahamasishe wananchi wote wakajiandikishe, wakipigie kampeni chama chao na kuwashawishi CCM na vyama vingine pamoja na sisi tusiokuwa na vyama ili tukipigie kura chama chenu. Bila kusahau kulinda kura zenu wakati wa uchaguzi maana CCM kwa wizi wa kura ni nambari wani.
 
asante kwa taarifa ccm chama cha washenzi na wahuni wakubwa chadema ndo mkombozi wa wananchi
 
Magaidi hayawezi kuwa mpango wa mungu, labda mungu wa mabox
Hivi gaidi ni nani kati ya waliomng'oa Ulimboka meno!? Kibanda macho? Je Ritz1 yuko chama gani!?? ataendelea kuua hadi lini!?
 
ukombozi wetu ni bure kama huutokani na miongoni mwetu, maana kudumu kwa fikira sahihi kwa manufaa yetu sote ni jitihada zisizo na kikomo
 
Hawajitambui''' ilishatokea chuoni kwetu miaka hiyoooo kumbe walikuwa wakigombania madaraka mwishowe kila mmoja akachukua chake na kusepa. R.I.P CDM.
Acha porojo miaka hiyo ni ipi na ni madaraka gani yanayogombaniwa, mimi mbona nina kadi ya CDM na niliichukua nikiwa chuoni na sikuixhukua kwa ajili ya madaraka? Wanaochukua kadi kwa ajili ya madaraka wapo CCM kwani G.Mgimwa Uhai wa kadi yake ya CCM haujafikia hata mwaka mmoja.
 
Jana kulikuwa na ugawaji wa kadi wa CHADEMA katika chuo cha SAUT Tabora na mara baada ya tangazo la uwepo wa kadi vijana walionekana wakipigana vikumbo kupata kadi hizo, ambapo baada ya mfupi kadi ziliisha.

Nilijaribu kuongea na baadhi ya vijana kwanini wamegombania kadi ya CHADEMA wakasema ''kuwa na kadi ya CHADEMA ni uzalendo na kuonyesha unaipenda nchi yako''

Hongera CHADEMA kwa kukubalika na wasomi wetu.

Bravoooooooo vivaaaaaaaaaaaaaaaaa CHADEMA MWENDO MDUNDO
 
Back
Top Bottom