Mkuu usihangaike na huyu jamaa ni mmoja ya watu walimaliza chuo wakaajiliwa na ccm kwenye kitengo cha propaganda na matusi kwenye mtindao. Tuliowengi tunapost humu kwa hiari yetu tukiwa na mawazo huru ndiyo maana utaona tofauti na hawa propagandist wa Lumumba. Hawewezi kupost kitu with their free mind maana akili yao ya kawaida wameshikiwa na Nape pale Lumumba. Kila wanachopost kiko audited na bosi wao Nape hivyo hawezi kupost kitu ambacho haikiitukani chadema wala mtu anayeitetea chadema. Wasipofanya hivyo ajira yao inakoma immediately. Mwingine maarufu siku hizi ni Simiyu yetu halafu eti ni mnyantuzu, sijawahi kusikia mnyantuzu kama huyu maana wanayatunzu hata wale ambao hawajakanyaga eneo la shule bado wanaujua uovu wa ccm na wameikataa mazima! Ukiona ccm wanashinda uchaguzi usukumani wamenunua kila kura waliyopata Muulizeni chenge kama anahamu nao!