shingwengwe
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 1,152
- 125
kadi za cdm hata huku kwetu dili! zinagombaniwa sana!
Jana kulikuwa na ugawaji wa kadi wa CHADEMA katika chuo cha SAUT Tabora na mara baada ya tangazo la uwepo wa kadi vijana walionekana wakipigana vikumbo kupata kadi hizo, ambapo baada ya mfupi kadi ziliisha.
Nilijaribu kuongea na baadhi ya vijana kwanini wamegombania kadi ya CHADEMA wakasema ''kuwa na kadi ya CHADEMA ni uzalendo na kuonyesha unaipenda nchi yako''
Hongera CHADEMA kwa kukubalika na wasomi wetu.
Chadema mpango wa mungu
Magaidi hayawezi kuwa mpango wa mungu, labda mungu wa mabox
Wanazitaka ili kujaradia madaftari yao ni si vinginevyo
Wanazitaka ili kujaradia madaftari yao ni si vinginevyo
Bora yake Mulugo asiyejua Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuliko wewe!
Kilaza wa mwaka
Uzuri wa mambumbumbu wa cdm ni kwamba we andika tu humu mtaani kwamba sasa hivi tunakusanya kadi zote za chama makiniCCM na tumeshagawa kadi milioni 80 na bado tunaendelea, mambumbumbu yatakenua moto na kuanza kusema chademani mpango wa mungu au miungu. Hawa watu huwa siwaelewi hawafanyi hata utafiti kidogo kujua lililoandikwa li sahihi au la. Yanashabikia utumbo kila kukicha na nadhani yapo kama matatu humu ndani kwa kubadiri Id:love: Sina uhakika na uelewa wao lakini nadhani ni hafifu ajabu.Wanajua kwamba jf ni mtambo wa majungu na mwongozo wa malofa bado ulofa umeshika kasi na kufikiri hata kama kibaby ni sifuri:rolleyez: People do not wish to appear foolish; to avoid the appearance of foolishness, they are willing to remain actually fools. Ahaaaa- Any fool can make a rule, and any fool will mind it:target:Until you're ready to look foolish, you'll never have the possibility of being great:shut-mouth:
Bora Mulugo kuliko Mwenyekiti wenu. Form six failure.
Bora yake Mulugo asiyejua Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuliko wewe!
Kilaza wa mwaka
Uzuri wa mambumbumbu wa cdm ni kwamba we andika tu humu mtaani kwamba sasa hivi tunakusanya kadi zote za chama makiniCCM na tumeshagawa kadi milioni 80 na bado tunaendelea, mambumbumbu yatakenua moto na kuanza kusema chademani mpango wa mungu au miungu. Hawa watu huwa siwaelewi hawafanyi hata utafiti kidogo kujua lililoandikwa li sahihi au la. Yanashabikia utumbo kila kukicha na nadhani yapo kama matatu humu ndani kwa kubadiri Id:love: Sina uhakika na uelewa wao lakini nadhani ni hafifu ajabu.Wanajua kwamba jf ni mtambo wa majungu na mwongozo wa malofa bado ulofa umeshika kasi na kufikiri hata kama kibaby ni sifuri:rolleyez: People do not wish to appear foolish; to avoid the appearance of foolishness, they are willing to remain actually fools. Ahaaaa- Any fool can make a rule, and any fool will mind it:target:Until you're ready to look foolish, you'll never have the possibility of being great:shut-mouth:
Wajinga pekee ndio watagombania kadi za wauwaji
Wacha kuwalaghai Watanzania eti Chaguo LA Mungu hakuna Damu za watu mnamwaga MNA laana ninyi