Kadi za CHADEMA zagombaniwa chuoni

Kadi za CHADEMA zagombaniwa chuoni

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,850
Jana kulikuwa na ugawaji wa kadi wa CHADEMA katika chuo cha SAUT Tabora na mara baada ya tangazo la uwepo wa kadi vijana walionekana wakipigana vikumbo kupata kadi hizo, ambapo baada ya mfupi kadi ziliisha.

Nilijaribu kuongea na baadhi ya vijana kwanini wamegombania kadi ya CHADEMA wakasema ''kuwa na kadi ya CHADEMA ni uzalendo na kuonyesha unaipenda nchi yako''

Hongera CHADEMA kwa kukubalika na wasomi wetu.
 
mungu atutangulie wazalendo woteeeeeeeeeeeeee wa mjini na vijijini!
P_amoko milele Man..............
 
Wasomi wamegundua hila za ccm, chadema ndiyo chama cha ukombozi wa nchi hii
 
ccm jitafakarini upya kwanini wasomi wanawachukia
 
Hawajitambui''' ilishatokea chuoni kwetu miaka hiyoooo kumbe walikuwa wakigombania madaraka mwishowe kila mmoja akachukua chake na kusepa. R.I.P CDM.
 
Jana kulikuwa na ugawaji wa kadi wa chadema katika chuo cha Saut Tabora na mara baada ya tangazo la uwepo wa kadi vijana walionekana wakipigana vikumbo kupata kadi hizo, ambapo baada ya mfupi kadi ziliisha nilijaribu kuongea na baadhi ya vijana kwanini wamegombania kadi ya chadema wakasema ''kuwa na kadi ya chadema ni uzalendo na kuonyesha unaipenda nchi yako''
Hongera chadema kwa kukubalika na wasomi wetu
Wanazitaka ili kujaradia madaftari yao ni si vinginevyo
 
...nuru(wasomi) na giza(ccm) kamwe havichagamani...songa mbele "CHADEMA" mtetezi wa wanyonge...
 
Chadema mpango wa mashetani

Toka nimeanza kuifahamu ID yako sijawahi kuona umeandika kitu cha kuelimisha,kufurahisha wala cha kuonya jamii. Wewe ni mtu au limashine? Yaani hovyo hovyo! Bora kufuga bobi atabweka wezi wakija nyumbani kuliko kukaa na wewe. Nenda kapate tiba.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Wajinga pekee ndio watagombania kadi za wauwaji
 
Back
Top Bottom