Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
hapo umenena, tatizo na kanisa kukaa karibu na mzee mzima.
Si amedai kwamba analiheshimu na amekuwa analihudumia hilo kanisa au ni unafiki tu? Na ilikuwaje akawa anahudumia kanisa huku akidai halina uhalali kuwepo pale?