Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,683
- 46,371
Katika kada ambazo Makonda anaweza kushindwa au kukwama kuzihoji hadharani hata kama ikitokea kukawa na malalamiko dhidi yake ni pamoja na
1. Mahakama; Majaji na Mahakimu
2. Uhamiaji
3. Jeshi
4. TISS
6. Wizara ya Mambo ya nje
7. Wizara ya habari na Mawasiliano
Nyingine unaweza kuongezea
1. Mahakama; Majaji na Mahakimu
2. Uhamiaji
3. Jeshi
4. TISS
6. Wizara ya Mambo ya nje
7. Wizara ya habari na Mawasiliano
Nyingine unaweza kuongezea