Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,059
- 24,451
Mkuu umeniuliza swali gumu sana but itoshe kusema am proud to be an engineer.
Sasa why uhangaike na hii kazi ya ualimu?
Unajivuniaje kitu ambacho hakikusaidii, maana bila shaka huna ajira lakini pia umeshindwa kujiajiri kwa kuwa engineer!
Wengi wanaosoma engineer ni kutafauta title na sifa tu ili aitwe engineer, lakini kiuhalisia hamna kitu! Engineer huwa hajisifii, anapiga kazi inaonekana, wenye macho watasema!