Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,797
- 18,038
====
Alichokizungumza ni kuwa hoja za Rostam Aziz ni dhaifu kwenye kumjibu Humphrey Polepole. Amesema hayuko upande wa Polepole lakini hoja za Rostam Aziz si sahihi hivyo ametoa wito kwa CCM kutumia wasomi wa kumjibu Polepole
Pia Soma >> GE2025 - Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz