kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Dr.Willy Lori ,kada wa CCM aliyepelekwa kugombea ubunge 2010 katika jimbo la Karatu na kusambaratishwa vibaya baada ya DR.W.Slaa kuamua kugombea Uraisi amepewa ajira ya huruma na Mwenyekiti wa ccm JK katika masuala ya lishe.
Dr. Lori ambaye ni mzoefu wa masuala ya lishe pengine atamsaidia kiongozi wa nchi katika kutambua na kusimamia lishe yake ikizingatiwa kuwa wakati wa kampeni zake alikuwa akianguka hadharani moja ya sababu inayotolewa na wataalamu ni lishe duni anayopata.
Dr Willy Lori alipendekezwa na CCMabwepande wakijidanya na majina yake kushabiana kwa karibu na ya DR wa Ukweli Wilbroad Peter Slaa kuwa wanakaratu wengi watampigia gamba la CCM lakini waliona manyoya wakati kuku keshaliwa na CHADEMA.
KATIKA mazingira ya namna hii ya kuteua wasaidizi kwenye nafsi nyeti kwa huruma na kujuana nchi hii itategemea miujiza ya akina Musa na Joshua katika kutatua matatizo na changmoto lukuki.
Hongera DR. Lori kwa kufutwa machozi Ikulu.
Source.
Nipashe 19/07/2010
Dr. Lori ambaye ni mzoefu wa masuala ya lishe pengine atamsaidia kiongozi wa nchi katika kutambua na kusimamia lishe yake ikizingatiwa kuwa wakati wa kampeni zake alikuwa akianguka hadharani moja ya sababu inayotolewa na wataalamu ni lishe duni anayopata.
Dr Willy Lori alipendekezwa na CCMabwepande wakijidanya na majina yake kushabiana kwa karibu na ya DR wa Ukweli Wilbroad Peter Slaa kuwa wanakaratu wengi watampigia gamba la CCM lakini waliona manyoya wakati kuku keshaliwa na CHADEMA.
KATIKA mazingira ya namna hii ya kuteua wasaidizi kwenye nafsi nyeti kwa huruma na kujuana nchi hii itategemea miujiza ya akina Musa na Joshua katika kutatua matatizo na changmoto lukuki.
Hongera DR. Lori kwa kufutwa machozi Ikulu.
Source.
Nipashe 19/07/2010