Kada kindakindaki wa CCM na YANGA nimeingia jamiiforum kwa kishindo

Nov 30, 2022
17
17
Wadau mambo vipi,. Poleni na mihangaiko ya kila cku maana life liko tight kinoma.

Mimi hapa genius kipanga nimekuja jamiiforum kwa lengo kuu moja kutetea CCM na YANGA. Naomba ushirikiano wenu katika kuhakikisha mama anaupiga MWINGI hadi umwagike

Naomba kuwasilisha

Nbisikali zote nifate pm mtakuja nishukuru badae
 
Utumie na akili vizuri.Usilete umbuzimbuzi hapa JF.Utapata bakhishishi zako hadi ujute.
 
Hapo kwenye Yanga umenena. Ila kile...mmmhhh.
 
Wewe ni mbadala wa OKW BOBAN SUNZU ambaye ni simba na chadema
 
Binadamu huwa anakula majani ambayo na mbuzi naye hula. Hilo halimfanyi binadamu kuwa mbuzi..!! Mbuzi atabaki kuwa mbuzi hata kama baadhi ya vyakula anavyokula, binadamu naye anakula
Sasa wananchi mkataeni huyo mbuzi. Mbuzi kwake ni zizini. Sio Jangwani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…