genius kipanga
Member
- Nov 30, 2022
- 17
- 17
Utumie na akili vizuri.Usilete umbuzimbuzi hapa JF.Utapata bakhishishi zako hadi ujute.Wadau mambo vipi,. Poleni na mihangaiko ya kila cku maana life liko tight kinoma.
Mimi hapa genius kipanga nimekuja jamiiforum kwa lengo kuu moja kutetea CCM na YANGA. Naomba ushirikiano wenu katika kuhakikisha mama anaupiga MWINGI hadi umwagike
Naomba kuwasilisha
Nbisikali zote nifate pm mtakuja nishukuru badae
Your wrong my brother/sister...am not an idiot as your tangly short brain think....Haya bwana kanga, sorry kadaView attachment 2440305
Hapo kwenye Yanga umenena. Ila kile...mmmhhh.Wadau mambo vipi,. Poleni na mihangaiko ya kila cku maana life liko tight kinoma.
Mimi hapa genius kipanga nimekuja jamiiforum kwa lengo kuu moja kutetea CCM na YANGA. Naomba ushirikiano wenu katika kuhakikisha mama anaupiga MWINGI hadi umwagike
Naomba kuwasilisha
Nbisikali zote nifate pm mtakuja nishukuru badae
Another POPOMA.Your wrong my brother/sister...am not an idiot as your tangly short brain think....
Am superb genius
Chama Cha MambuziYour wrong my brother/sister...am not an idiot as your tangly short brain think....
Am superb genius
Mgeni mtata huyu. Yani kajiunga na hapo hapo kashajua mambo ya PM....Karibu sana JamiiForums...
Hapo kwenye Chama Cha Mambuzi umemtosa mwananchi mwenzio?Hapo kwenye Yanga umenena. Ila kile...mmmhhh.
Huyu mwanambuzi siyo mgeni. Ni Mbuzi ambaye amekuja na ID mpya...!!Mgeni mtata huyu. Yani kajiunga na hapo hapo kashajua mambo ya PM....
Wewe ni mbadala wa OKW BOBAN SUNZU ambaye ni simba na chademaWadau mambo vipi,. Poleni na mihangaiko ya kila cku maana life liko tight kinoma.
Mimi hapa genius kipanga nimekuja jamiiforum kwa lengo kuu moja kutetea CCM na YANGA. Naomba ushirikiano wenu katika kuhakikisha mama anaupiga MWINGI hadi umwagike
Naomba kuwasilisha
Nbisikali zote nifate pm mtakuja nishukuru badae
Binadamu huwa anakula majani ambayo na mbuzi naye hula. Hilo halimfanyi binadamu kuwa mbuzi..!! Mbuzi atabaki kuwa mbuzi hata kama baadhi ya vyakula anavyokula, binadamu naye anakulaHapo kwenye Chama Cha Mambuzi umemtosa mwananchi mwenzio?
Sasa wananchi mkataeni huyo mbuzi. Mbuzi kwake ni zizini. Sio Jangwani...Binadamu huwa anakula majani ambayo na mbuzi naye hula. Hilo halimfanyi binadamu kuwa mbuzi..!! Mbuzi atabaki kuwa mbuzi hata kama baadhi ya vyakula anavyokula, binadamu naye anakula