"Kachero" na Hatima ya CCM 2020

Another rubish. Ccm ilikuwa na Hali mbaya kipindi ya Lowasa, haitatokeaga awamu hii

Mkuu inawezekana kabisa hali ikawa mbaya 2020.
Membe amehamia Ukawa na anamuunga mkono Lowassa, Jk naye anatangaza kumuunga mkono EL chini ya ukawa, CCM itakuwa na hali mbaya kuliko 2015.

Ukumbuke CCM wanategemea sana fitina na itifaki ambazo hawa wa sasa hawaziwezi na waliopo wanaoziweza wamenuna na baadala yake watakuwa upande wa fitina za kubomoa na si kujenga..
 
Kumbuka kukaa magogoni sio sifa ya kuwa rais

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu kama hiyo mzee, only in your dreams, dreams that will never occur, forget about it.
 
Siasa bongo ni kwikwi,harakati zimezidi,mlituaminisha jk chama kinamfia asipochaguliwa mamvi lakini wameendelea kutamba, hata huyo Mzee huko ni kama mamluki tu,ila kwa kuwa watanzania mazwazwa na manyumbu wacha watupeleke hakuna namna!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba ya CCM ilishabadilishwa jamaa anapita bila kupingwa...au hukumbuki
 
Kumbuka kukaa magogoni sio sifa ya kuwa rais

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tulichoshuhudia hapa ni kuwa watu hawasomi na kuelewa mantiki ya hoja bali wanahemka kulingana na hisia za mapenzi waliyo nayo. Mwandishi hajasema kuwa Membe anafaa kuwa Rais, wala hajasema atashinda.
Mada inazungumzia kuwa ni Kachero anayemtesa magu kuelekea 2020 basi. Anamtesaje? hilo ndio lilikuwa hoja ya kujadili, na kama hata washabiki wake wanateseka hivi basi pengine hata yeye haya ya ajabu afanyayo ni mateso ya hisia zake pia
 
Weraweraaaaaaaaaaaaa! menyewe kwa menyeweeeeeeee! acha wafu wazike wafu wao! sie 2020 njia ya magogoni ileeeeeeeeeeeeee! wera weraaaaaaaaaaaaaa!
 
This is so sweet...

 
hakuna,asiyejua kwamba huyo kachero hakupenda pale jina lake lilipo katwa, alishindwa tu kuchukua maamuzi aliyoyachukua mzee.
 
 
Hata walie wagalegle, wavimbe wapasuke, ila JPM hadi 2025. Hakuna kama JPM.

Huyo kachero, 2013 alishindwa kutaja mafisadi bungeni alipoulizwa sasa atakuwa na huo ubavu wa kuwa rais. By the way, asidhanie kuwa wasomi na watu tulio makini tumesahau alichokifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…