tumia akili ukawa weka pembeniMimi naomba tu asipate muhula mwingine maana hii first term amekurupuka kupitukia tena bado hivi ni mwanzoni mwa first term....tujiulize jee akishinda hiyo second term??....force rule ndo itazidi....Hakuna kiongozi yoyote ambae nitampenda kwa kosa hili kuwavunjia nyumba wananchi masikini bila ya kuwalipa fidia au kuwasaidia kwa njia nyingine yoyote ilimradi wasiteseke na wakufikiriwa zaidi ni watoto...TOO BAD
Sent using Jamii Forums mobile app