Too good story to be true!
D, Hili nalo neno
Mama, kwani nakuzuga vipi tena,wenzetu hawana kawaida ya kuficha yaliyo mioyoni mwao,akipenda kitu anakueleza hapohapo na ukweli ni kuwa sikuwa nimemtongoza ila nilikuwa na mpango huo.
Nkwingwa huniamini?Kwa mapishi mimi ni mwisho na huwa nikiwapikia wanachanganyikiwa,huu ni mwaka wa tisa sasa naishi bachelor life.
Mie naona nikisoma between lines napata kigugumizi kama hadithi vile na uzugaji tuuu huuu
Hao Germany hampshires huangalia mambo mengi sana! Kupika wala si kigezo labda kama ni muitaliano. It's a good story thou
Yote maisha! Hayana formula!nenda tuu mwanangu kwa wazazi.watu wameoa wabongo wenzao lakini matatizo tuu!
Hao Germany hampshires huangalia mambo mengi sana! Kupika wala si kigezo labda kama ni muitaliano. It's a good story thou
Uhausiboi hapana, ila amesema kama ninataka baba yake ataniajiri kwenye ng`ombe wao.
Haiwezekani akurupuke tu akakutambulishe kwao bwana bila hata kuitana sweetie, honey, my love, my darling hata siku moja wewe PM sie watu wazima uuje lakini usicheze na akili za watu banaaa
Teh teh teh
Cowboy.... Mh sikushauri
Labda nikuulize tu,unaelewa maana ya neno first date?
Wewe mtani kwani tatizo liko wapi kama analipa wewe nenda tu kwa wazazi mkuu! alles gute!
First date na kutambulishana wapi na wapi banaaa aaahhghhgh
Sawasawa mtani nimekusoma na asante sana, Katoto kanalipa ila kilichonishtua ni kuambiwa kamenipendea mapishi ya utumbo,lakini hamna noma wacha nijaribu kujitosa tuanze mambo ya ich bin.
Sawasawa mtani nimekusoma na asante sana, Katoto kanalipa ila kilichonishtua ni kuambiwa kamenipendea mapishi ya utumbo,lakini hamna noma wacha nijaribu kujitosa tuanze mambo ya ich bin.