Mkare JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 504 Reaction score 79 Apr 14, 2011 #1 Wanajamii, kwa wale ambao wenzangu na mie ambao tulikuwa bado hatujaona aina hii ya kaburi. Naona binadamu tunapoelekea sipo. You can imagine kaburi lina hadi flat screen na DVD Player... ha ha ha...!
Wanajamii, kwa wale ambao wenzangu na mie ambao tulikuwa bado hatujaona aina hii ya kaburi. Naona binadamu tunapoelekea sipo. You can imagine kaburi lina hadi flat screen na DVD Player... ha ha ha...!
Mkare JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 504 Reaction score 79 Apr 14, 2011 Thread starter #2 Da, na hivyo vipodozi sijui dressing table... watu wana visa kudadadeki...
IGWE JF-Expert Member Joined Feb 3, 2011 Posts 9,738 Reaction score 8,180 Apr 14, 2011 #3 Huu ni ujuha na upuuzi tu kama upuuzi mwingine unaofanyika hapa dunian...........
NG'OTIMBEBEDZU JF-Expert Member Joined Aug 11, 2010 Posts 1,180 Reaction score 598 Apr 15, 2011 #4 IGWE said: Huu ni ujuha na upuuzi tu kama upuuzi mwingine unaofanyika hapa dunian........... Click to expand... Mungu mwenyezi ni mkarimu sana, tatizo binadamu akizidishiwa na kichaa humpata, kama hajafanya hili atafanya lile!
IGWE said: Huu ni ujuha na upuuzi tu kama upuuzi mwingine unaofanyika hapa dunian........... Click to expand... Mungu mwenyezi ni mkarimu sana, tatizo binadamu akizidishiwa na kichaa humpata, kama hajafanya hili atafanya lile!
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,831 Reaction score 13,797 Apr 15, 2011 #5 IGWE said: Huu ni ujuha na upuuzi tu kama upuuzi mwingine unaofanyika hapa dunian........... Click to expand... Matumizi mabaya ya pesa haya.
IGWE said: Huu ni ujuha na upuuzi tu kama upuuzi mwingine unaofanyika hapa dunian........... Click to expand... Matumizi mabaya ya pesa haya.
BLISS Member Joined Mar 31, 2011 Posts 54 Reaction score 13 Apr 15, 2011 #6 haya mambo wajaribu kuyafanya bongo waone kesho yake kama hawakukuta pamechimbika na vitu hamna, bila kusahau kubeba viungo vya marehemu, lol!
haya mambo wajaribu kuyafanya bongo waone kesho yake kama hawakukuta pamechimbika na vitu hamna, bila kusahau kubeba viungo vya marehemu, lol!
Ba Martha JF-Expert Member Joined Aug 13, 2010 Posts 349 Reaction score 111 Apr 15, 2011 #8 duhh..hii kali..then jamaa wako poa tu ...full maandalizi..
M Marytina JF-Expert Member Joined Jan 20, 2011 Posts 9,738 Reaction score 8,014 Apr 15, 2011 #9 jamaa atakuwa na pesa kama CHENGE au RA