Kutatapa kwani ni tusi?Bwashee heshima ni kitu cha bure!
Usimdharau prof wangu kabudi kwamba anabeba mafaili hajawa karani bana!??Wanabeba mafaili ya BiM
Hao ndio watajua umuhimu wa katiba mpya sasaSijuikwanini hawa wazee hawajiajiri wanamfatafata mama aponyuma kama watoto wakiomba kakibarua licha ya kunangwa vibaya!!
Hivi wao wanadhani waliosemwa kuwa na homa ya urais 2025 ninani??? Au wanajisahaulisha!!
Morogoro na iringa kilimo kinakubali vyema embu walio karibu nao wawaambie wakajiajiri shamba!!!
Kwa hivyo hawa jamaa ni viranjaWanamsaidia Rais kuwasimamia Mawaziri.
Personal President assistantsKwa hiyo hata kama ni Baba zako Raia hawapaswi kuhoji uhalali wa nyazifa zao kama zipo kikatiba?
Hao siyo Wastaafu mkuu. Nafiki ni vizuri tupate neno sahihi kwa watu kama Hawa. Wengi wao huwa tunawaita wastaafu wakati kiuhalisia they are Former ministers. Sasa hiyo former kwa kiswahili sanifu sijui ni nini....!!?KWEMA WAKUU.
Nimemuona Waziri Mstaafu wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi na Waziri wa Ardhi mstaafu Ndg William Lukuvi Wakiwa katika Kikao Cha MAWAZIRI na Rais na wakiandika notes na michango.
Mimi kama Raia na mlipa Kodi wa Nchi hii Hawa watu wawili Wapo Kwenye Baraza la Mawaziri kama Akina nani nilisikia Rais Akisema Kuna Kazi atawapatia.
Je, Ni kazi za Siri ambazo wananchi hatupaswi kuzijua?
Nipeni ufafanuzi tafadhali
View attachment 2079622
Hakuna kitu kama hicho.wanaohudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri ni wale waliokula viapo.sasa hawa 2 wamekula viapo wapi?Waambie ukweli waende majimboni kwao.Huku ni kupoteza kodi za wananchi.Mbna Rais aliweka kila kitu hadharani , wanamsaidia kazi fulan fulan pale Ikulu😊
Kwa hyo unapingana na mamlaka ya Raisi , mkuu ungepewa wewe hyo kazi ungezingua? Duh haya bhana , tuandamane sasa mkuuHakuna kitu kama hicho.wanaohudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri ni wale waliokula viapo.sasa hawa 2 wamekula viapo wapi?Waambie ukweli waende majimboni kwao.Huku ni kupoteza kodi za wananchi.
Kijana hebu acha choyo. Waache wazee wazichangechange za mwisho kabla hawajastaafu.Matumizi mabaya ya fedha za umma
Israili naye ndio nani?!Tufafanulie basi na sisi tunajua mtoa roho ni Israili
Ni matumizi mabaya ya raslimali; ni sawa na rtais kuwalipa marafiki na ndugu zake ambao hawamo serikalini kwa kutumia kodi yetu eti kwa vile tu wanamsaidia yeye kufanya kazi zake.KWEMA WAKUU.
Nimemuona Waziri Mstaafu wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi na Waziri wa Ardhi mstaafu Ndg William Lukuvi Wakiwa katika Kikao Cha MAWAZIRI na Rais na wakiandika notes na michango.
Mimi kama Raia na mlipa Kodi wa Nchi hii Hawa watu wawili Wapo Kwenye Baraza la Mawaziri kama Akina nani nilisikia Rais Akisema Kuna Kazi atawapatia.
Je, Ni kazi za Siri ambazo wananchi hatupaswi kuzijua?
Nipeni ufafanuzi tafadhali
View attachment 2079622
Si wajiajiriKijana hebu acha choyo. Waache wazee wazichangechange za mwisho kabla hawajastaafu.
Na Kigogo atahudhuriaMambo ya NCHI ni VICHEKESHO kuna Siku MANGE nae Atahudhuria