Lukuvi aweza kua waziri mkuu wa siku za baadae. Nadhani atamuduAkili mukichwa, Lukuvi ana nguvu kubwa na akiungana na Kabudi wanaweza kuleta shida kwenye system ya utawala wa bimkora.
Hapo anawageresha hata kama wanaelewa kwamba hawapaswi kuenda kinyume na mama, Ila anawapa at least a smooth transition from uwaziri to nobody but believe me atawamwaga ngoja uchaguzi wa spika uishe.