Kabla ya kuoa hakikisha

Kabla ya kuoa hakikisha

kuna watu humu ni wavivu wa kufikiri, hivi na wanaume ambao wake zao ni marais wa nchi wawakimbie wake zao? unajuwa kama Angel Markel wa Germany ni lazima ampikie mumewe kabla ya kwenda ofisi?

John mnyika kimsingi ni form six je atababaishwa na mwanamke mwenye masters? you can't change the nature mwanaume ndio kichwa ndani ya nyumba full stop.

inferiority complex zitawauwa bure msiwaogope wanawake hawa ni wasaidizi wetu by nature.

sure sure kabisaa
 
sasa ikitokea wewe ambae unapata elfu 2 haupati tena labda tuseme unapata 500 na mkeo anapata zaidi ya elfu 1 ya mwanzo je utamwacha?
 
mtoa mada polee aseee maana umekalia kuti kavu
 
sio mke huyo blaza!
mkimbie fasta
hafai kwa matumizi ya binadamu!
lol!

Ha ha haa wakati mie blaza wako kula kulala ndio sitaki hata kumsikia yaani tangu umemuoa yeye status inayoongezeka ni mama tu???!!

Hata genge ka nyanya hanalo???!!
 
sasa ikitokea wewe ambae unapata elfu 2 haupati tena labda tuseme unapata 500 na mkeo anapata zaidi ya elfu 1 ya mwanzo je utamwacha?

Ataenda kufanya fitna kazini afukuzwe!!!!
 
Ha ha haa wakati mie blaza wako kula kulala ndio sitaki hata kumsikia yaani tangu umemuoa yeye status inayoongezeka ni mama tu???!!

Hata genge ka nyanya hanalo???!!
sa si ndio unakuwa na hela kumzidi
anakuwa anakuomba mpk hela ya teitei
akitaka kuangalia superspot mpk uje umbadilishie remote
akitaka kusoma aishie kusoma ufundi cherehani kanisani kwa sista honoratha.
huyo ndo mke blaza!
 
Tatizo hizi nadharia zinatolewa na watu ambao hata hawafahamu ladha ya Ndoa!
 
sa si ndio unakuwa na hela kumzidi
anakuwa anakuomba mpk hela ya teitei
akitaka kuangalia superspot mpk uje umbadilishie remote
akitaka kusoma aishie kusoma ufundi cherehani kanisani kwa sista honoratha.
huyo ndo mke blaza!

Maisha yenyewe hayatabiriki ukizimika ghafla inakuwaje???!!!!
Huyu angeenda kijijini kwao akaoe labda ndio angewezana naye
 
Mimi nimefanya uchunguzi kuhusu elimu ni kwamba bongo walioelimika ni wachache sana kati wengi waliopata nafasi ya kwenda shule.
Halafu unaposema mtu amekuzidi elimu ina maana gani? profesa wa UDSM aliyebobea kwenye uchumi anakuwa ni mtu aliyekuzidi elimu ktk masuala ya uchumi tu hata kama na wewe ni profesa ktk fani ya sheria. huyohuyo profesa gari yake inapozima gafla itabidi a atafute fundi gari kwani hana elimu ya ufundi gari, sasa hapo unaposema ni msomi una maana gani nje ya taaluma yake?
 
Mimi nimefanya uchunguzi kuhusu elimu ni kwamba bongo walioelimika ni wachache sana kati wengi waliopata nafasi ya kwenda shule.
Halafu unaposema mtu amekuzidi elimu ina maana gani? profesa wa UDSM aliyebobea kwenye uchumi anakuwa ni mtu aliyekuzidi elimu ktk masuala ya uchumi tu hata kama na wewe ni profesa ktk fani ya sheria. huyohuyo profesa gari yake inapozima gafla itabidi a atafute fundi gari kwani hana elimu ya ufundi gari, sasa hapo unaposema ni msomi una maana gani nje ya taaluma yake?


Aisee ni kweli, kama mtu anashindwa kutenganisha level ya elimu na soecialization kuna tabu kweli!!!!
 
Mimi nimefanya uchunguzi kuhusu elimu ni kwamba bongo walioelimika ni wachache sana kati wengi waliopata nafasi ya kwenda shule.
Halafu unaposema mtu amekuzidi elimu ina maana gani? profesa wa UDSM aliyebobea kwenye uchumi anakuwa ni mtu aliyekuzidi elimu ktk masuala ya uchumi tu hata kama na wewe ni profesa ktk fani ya sheria. huyohuyo profesa gari yake inapozima gafla itabidi a atafute fundi gari kwani hana elimu ya ufundi gari, sasa hapo unaposema ni msomi una maana gani nje ya taaluma yake?


Aisee ni kweli, kama mtu anashindwa kutenganisha level ya elimu na specialization/ division of labour kuna tabu kweli!!!!
 
wwhen rich nigga want you
and ur nigga can do nothing for you

this hoes ant loyal
 
Hakunaga formula cha msingi mume/mke mwema Akupe Mungu tu utaiona dunia yako
 
Back
Top Bottom