masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,713
- 16,436
kuna watu humu ni wavivu wa kufikiri, hivi na wanaume ambao wake zao ni marais wa nchi wawakimbie wake zao? unajuwa kama Angel Markel wa Germany ni lazima ampikie mumewe kabla ya kwenda ofisi?
John mnyika kimsingi ni form six je atababaishwa na mwanamke mwenye masters? you can't change the nature mwanaume ndio kichwa ndani ya nyumba full stop.
inferiority complex zitawauwa bure msiwaogope wanawake hawa ni wasaidizi wetu by nature.
sure sure kabisaa