wwhen rich nigga want you
and ur nigga can do nothing for you
this hoes ant loyal
hili ndio neno
wwhen rich nigga want you
and ur nigga can do nothing for you
this hoes ant loyal
Mke wako hana kipato kikubwa kukuzidi mfano kama anaingiza elfu 1 basi mwanaume uingize elfu 2 kwa kufanya hivyo mwanamke lazima akuheshimu tena hakikisha unampa uhuru wa kutumia pesa yake bila kumuingilia.
Hakikisha unamzidi elimu au mnalingana usioe mwanamke anakuzidi elimu italeta shida hapo mbeleni maana nuru na giza havichangamani sasa sio wewe form 4 B unaoa mwanamke ana shahada ya kwanza kuna mambo atafanya utahisi anakudharau na kupelekea migogoro ndani ya ndoa yako.
Tabia ya mke ni tabia ya mamake kwa kiasi kikubwa chunguza jinsi mamake anavyoishi na mmewe kama ndoa yao ina furaha basi ujue na yako itakuwa ya furaha.
Epukeni wanawake wanaowalazimisha kuolewa maana huwa na lao jambo na sio wazuri wakishaolewa.
Nilmwoa akiwa na elim ya kidato cha nne,nikaamua kumsomesha sasa amemaliza Ordinary diploma ya Civil Engineering. Sasa anaomba akasome degree ya Geomatics,nimebaki mdomo wazi naanza rasmi mpango wa kuongeza elimu.