Kabila Vs Shepu (angalia Picha)

Kabila Vs Shepu (angalia Picha)

Hahahahahah Mimi ni Chagga pure na nina shepu nzuri ya kispoti
 
Hahahaaaa!! Waambie sio wote bhana kuna wachaga vi potable vya haja na pia wapo wahaya matufe kama sanamu la Michelin

Tunayaita wahaya matunyenye kichaga tunawaita (maulya) ha ha ha wasinikie wakaweka ile michoro
 
Kama ndo hivi wachaga watajioa wao kwa wao huku kazi za kubeba vyuma hakuna.
 
Kwamba wahaya ndo wenye shepu hapa Tz???? mleta uzi utakuwa mhaya, nimeona wahaya shapeless kabisaa, na nimeona waha wenye shepu ya kuua watu.
Huu uzi ni upuuzi!
 
ila wanyakyusa ni matufe hasa pia kwenye mechi wanataka shoo za kibabe yaani umkune haswaa sasa kama ndo unakulaga chipsi yai hakika lazima ujipigishe stori za kijinga kama si kutoka nduki chu.pi mkononi
 
mwanamke si body/umbo bali tabia, si unaona mtu ameoa mwanamke mreeembo but baada ya siku kadhaa wanapigana chini kisa TABIA MBOVU.
 
Daah ila wachaga hasa wa KIBOSHO ni kichekesho haswaaaaaa na shiiiida! yaani mvutoless
 
Back
Top Bottom