tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,120
- 5,375
Makabila yalishafutika
Kawaulize watoto wake na watoto wa watoto wake wa kiume! Watakuambisma wao ni Wamasai.Ni mmeru
Mkuu, unajua Waswahili ni mojawapo ya makabila yaliyopo Tanzania?Wanyasa ni Wanyasa tu hata atoke wapi kijiji gani ni kama mswahili tu kujiita Mtanzania makabila ni 250.
Kwa msingi huo, Wachaga ni kabila au si kabila?Wachagga ni Mkusanyiko wa makabila mengi ya Tanzania na Kenya.
Asante daktariDNA only Works For Heredity ya 4 GENEARATION BEYOND THAT HAIWEZI KUFANYA KAZI kwa Hiyi Kwa GENERATION YA sasa hivi hakuna mwenye kabila lake hata moja
Nashukuru mkuu, umeniongezea kitu.Kiasili huwezi kujipa kabila.
Kabila unapewa na watu wengine. Kwa mfano wapare walipewa jina hilo na wachaga.
Wachaga nao walipewa jina hilo na mvumbuzi Rebman akimaanisha makundi ya wataita, wakamba, na nilo hamitic walioshi kwenye mitelemko ya mlima Kilimanjaro.
Kujibagua kikabila ni masalia tu ya fikara za mfumo wa kikabaila ambao kwa kweli umekataa kuondoka kwenye jamii karibia zote duniani.
Naunga mkono hoja mkuu.
Dr, nimeshasikia watu wakidai baadhi ya makabila yaliyopoTanzania yana asili ya Mashariki ya kati. Kuna waliosema Watusi wana vinassba vya Kikushi, wengine wakasema Wamasai wana vinasaba vya Kiyahudi. Lakini ukijaribu kufikiri, naona haiji kabisa.DNA only Works For Heredity ya 4 GENEARATION BEYOND THAT HAIWEZI KUFANYA KAZI kwa Hiyi Kwa GENERATION YA sasa hivi hakuna mwenye kabila lake hata moja
Yeah Kuna Reaseach zimefanyika Nyingi zinaprove hivyo...Dr, nimeshasikia watu wakidai baadhi ya makabila yaliyopoTanzania yana asili ya Mashariki ya kati. Kuna waliosema Watusi wana vinassba vya Kikushi, wengine wakasema Wamasai wana vinasaba vya Kiyahudi. Lakini ukijaribu kufikiri, naona haiji kabisa.
Inawezekana kwa mtu mweusi kuwa na vinasaba vya watu weupe, au watu weupe kuwa na vinasaba vya watu weusi?
Mike Mwakatundu (Mike Tee) anajiita mnyalu lakini Mwa Mwa wengi ni wanyakyusa. Babu yake alisogea tu from Mbeya to Iringa miaka hiyoHuwa ninawashangaa watu wanaojisifia makabila yao katika msingi wa damu. Naamini, kama vipimo vya DNA vingefanyika, kuna watu wangejishangaa kufahamu kuwa hawana uhusiano wa damu na kabila analojinasibu nalo.
Kabila, kwa mtazamo wangu, msingi wake ni utamaduni na si damu.
Miaka ya nyuma, nilikutana na watu kadhaa ambao makabila yao yalikuwa na asili ya kabila jingine.
Mmoja aliniambia kuwa yeye ni Mchaga wa Marangu, lakini babu yake na bibi yake walikuwa ni Wamasai kutoka Arusha. Babu yao aliamua kwenda kununua ukoo kwa Wachaga baada ya kutokea ugomvi baina yake na ndugu zake na kupelekea kulikana kabila lake. Kipindi babu yake anaenda kuomba ukoo kwa Wachaga, tayari baba yake msimuliaji alishazaliwa. Hiyo inamaanisha Mmasai alihamia uchagani na watoto wake aliowazaa Arusha Umasaini, hivyo uzao wake uliopatikana Uchagani ni wajukuu.
Mwingine aliniambia yeye ni Mnyakyusa lakini babu na bibi yake walikuwa Wapare.
Mwingine ni familia moja ambayo japo walikuwa wakijitambilisha kuwa kabila lao ni Waarusha, asili yao ni Wameru. Udadisi wangu uliniwezesha kufahamu kuwa japo kwa damu wao ni Wameru, kabila la Waarusha walilipata kupitia babu yao aliyehamia kwa Waarusha.
Miaka ya nyuma, mtu alipotaka ardhi kutoka kwa Waarusha, akiuziwa au kupewa bure, anakuwa sehemu ya hiyo familia iliyompa ardhi. Kwa sababu huyo Mzee alipewa ardhi na Mwarusha, alijihesabu kuwa yeye ni ukoo mmoja na mtu aliyemwuzia/ aliyempa shamba (sikumbuki kama aliuziwa au alipewa bure).
Huyo Mzee japo aliaga dunia mwaka 2006, mpaka sasa uzao wake (watoto, wajukuu, vitukuu) wanajitambulisha kuwa ni kabila la Waarusha japo wana ndugu zao wa damu Meru ambao kabila lao ni Wameru.
Kwa mifano hiyo michache, ni wazi kuwa kabila la mtu si damu pekee, bali utamaduni. Mtu anaweza akawa na damu tofauti na ya kabila analojinasibu nalo
Inafahamika kuwa chimbuko la Mzee Lowassa ni Wameru. Hata sasa anaweza akawa ana ngmdugu zake wa damu kule Meru ambao ni WA kabila la Wameru. Lakini Mzee Lowassa yeye na familia yake kwa sasa kabila lao ni Wamasai.
Hata Wachaga, inasemekana ni mchanganyiko wa Wamasai, Wakamba, Wakahe, Wasambaa, na Wataita.
Kwa sababu hiyo basi, hata ikitokea umeamua kumuasili mtoto mchanga ambaye katelekezwa na kabila lake haijulikani, usione tashwishwi kumwita kabila lako.
Kabila si damu. Ni utamaduni.
Makabila yanaweza kubadilika!
Aisee!Yeah Kuna Reaseach zimefanyika Nyingi zinaprove hivyo...
Na pia kuna Research inaprove kuwa Watu weusi ndo Chanzo cha watu wote Duniani..
kasome kuhusu Euroasian Evolution
Indigenous Arabs are descendants of the earliest split from ancient Eurasian populations
An open question in the history of human migration is the identity of the earliest Eurasian populations that have left contemporary descendants. The Arabian Peninsula was the initial site of the out-of-Africa migrations that occurred between 125,000 and ...www.ncbi.nlm.nih.gov
Natamani ungeelezea kidogo kuhusiana na hilo. Limewezekanaje?Mfano mimi ni mbena ila ndugu zangu wote asilimia 97 ni wahehe
Kabila haswa ni utamaduni na sio damu au DNA. Mzungu aweza kuwa Msambaa.Huwa ninawashangaa watu wanaojisifia makabila yao katika msingi wa damu. Naamini, kama vipimo vya DNA vingefanyika, kuna watu wangejishangaa kufahamu kuwa hawana uhusiano wa damu na kabila analojinasibu nalo.
Kabila, kwa mtazamo wangu, msingi wake ni utamaduni na si damu.
Miaka ya nyuma, nilikutana na watu kadhaa ambao makabila yao yalikuwa na asili ya kabila jingine.
Mmoja aliniambia kuwa yeye ni Mchaga wa Marangu, lakini babu yake na bibi yake walikuwa ni Wamasai kutoka Arusha. Babu yao aliamua kwenda kununua ukoo kwa Wachaga baada ya kutokea ugomvi baina yake na ndugu zake na kupelekea kulikana kabila lake. Kipindi babu yake anaenda kuomba ukoo kwa Wachaga, tayari baba yake msimuliaji alishazaliwa. Hiyo inamaanisha Mmasai alihamia uchagani na watoto wake aliowazaa Arusha Umasaini, hivyo uzao wake uliopatikana Uchagani ni wajukuu.
Mwingine aliniambia yeye ni Mnyakyusa lakini babu na bibi yake walikuwa Wapare.
Mwingine ni familia moja ambayo japo walikuwa wakijitambilisha kuwa kabila lao ni Waarusha, asili yao ni Wameru. Udadisi wangu uliniwezesha kufahamu kuwa japo kwa damu wao ni Wameru, kabila la Waarusha walilipata kupitia babu yao aliyehamia kwa Waarusha.
Miaka ya nyuma, mtu alipotaka ardhi kutoka kwa Waarusha, akiuziwa au kupewa bure, anakuwa sehemu ya hiyo familia iliyompa ardhi. Kwa sababu huyo Mzee alipewa ardhi na Mwarusha, alijihesabu kuwa yeye ni ukoo mmoja na mtu aliyemwuzia/ aliyempa shamba (sikumbuki kama aliuziwa au alipewa bure).
Huyo Mzee japo aliaga dunia mwaka 2006, mpaka sasa uzao wake (watoto, wajukuu, vitukuu) wanajitambulisha kuwa ni kabila la Waarusha japo wana ndugu zao wa damu Meru ambao kabila lao ni Wameru.
Kwa mifano hiyo michache, ni wazi kuwa kabila la mtu si damu pekee, bali utamaduni. Mtu anaweza akawa na damu tofauti na ya kabila analojinasibu nalo
Inafahamika kuwa chimbuko la Mzee Lowassa ni Wameru. Hata sasa anaweza akawa ana ngmdugu zake wa damu kule Meru ambao ni WA kabila la Wameru. Lakini Mzee Lowassa yeye na familia yake kwa sasa kabila lao ni Wamasai.
Hata Wachaga, inasemekana ni mchanganyiko wa Wamasai, Wakamba, Wakahe, Wasambaa, na Wataita.
Kwa sababu hiyo basi, hata ikitokea umeamua kumuasili mtoto mchanga ambaye katelekezwa na kabila lake haijulikani, usione tashwishwi kumwita kabila lako.
Kabila si damu. Ni utamaduni.
Makabila yanaweza kubadilika!
Ukitaka kupata Historia ya Wachagga nenda pale Chagga caves...na watakueleza vizuriWachagga ni Mkusanyiko wa makabila mengi ya Tanzania na Kenya.
Angalia akili ya mtu mweusi inachowaza! Huyu ataisaidia nini nchi yake? Ni aybu! Ndio maana kuanzia mwarabu, waesia na wazungu wanawadharau watu weusi. Wanachoweza ni fitna kati yao wenyewe na kubaguana. Karne hii mtu unajadili ukabila si bora ya nyani kuliko wewe maana anaingizia nchi hii mapato?Huwa ninawashangaa watu wanaojisifia makabila yao katika msingi wa damu. Naamini, kama vipimo vya DNA vingefanyika, kuna watu wangejishangaa kufahamu kuwa hawana uhusiano wa damu na kabila analojinasibu nalo.
Kabila, kwa mtazamo wangu, msingi wake ni utamaduni na si damu.
Miaka ya nyuma, nilikutana na watu kadhaa ambao makabila yao yalikuwa na asili ya kabila jingine.
Mmoja aliniambia kuwa yeye ni Mchaga wa Marangu, lakini babu yake na bibi yake walikuwa ni Wamasai kutoka Arusha. Babu yao aliamua kwenda kununua ukoo kwa Wachaga baada ya kutokea ugomvi baina yake na ndugu zake na kupelekea kulikana kabila lake. Kipindi babu yake anaenda kuomba ukoo kwa Wachaga, tayari baba yake msimuliaji alishazaliwa. Hiyo inamaanisha Mmasai alihamia uchagani na watoto wake aliowazaa Arusha Umasaini, hivyo uzao wake uliopatikana Uchagani ni wajukuu.
Mwingine aliniambia yeye ni Mnyakyusa lakini babu na bibi yake walikuwa Wapare.
Mwingine ni familia moja ambayo japo walikuwa wakijitambilisha kuwa kabila lao ni Waarusha, asili yao ni Wameru. Udadisi wangu uliniwezesha kufahamu kuwa japo kwa damu wao ni Wameru, kabila la Waarusha walilipata kupitia babu yao aliyehamia kwa Waarusha.
Miaka ya nyuma, mtu alipotaka ardhi kutoka kwa Waarusha, akiuziwa au kupewa bure, anakuwa sehemu ya hiyo familia iliyompa ardhi. Kwa sababu huyo Mzee alipewa ardhi na Mwarusha, alijihesabu kuwa yeye ni ukoo mmoja na mtu aliyemwuzia/ aliyempa shamba (sikumbuki kama aliuziwa au alipewa bure).
Huyo Mzee japo aliaga dunia mwaka 2006, mpaka sasa uzao wake (watoto, wajukuu, vitukuu) wanajitambulisha kuwa ni kabila la Waarusha japo wana ndugu zao wa damu Meru ambao kabila lao ni Wameru.
Kwa mifano hiyo michache, ni wazi kuwa kabila la mtu si damu pekee, bali utamaduni. Mtu anaweza akawa na damu tofauti na ya kabila analojinasibu nalo
Inafahamika kuwa chimbuko la Mzee Lowassa ni Wameru. Hata sasa anaweza akawa ana ngmdugu zake wa damu kule Meru ambao ni WA kabila la Wameru. Lakini Mzee Lowassa yeye na familia yake kwa sasa kabila lao ni Wamasai.
Hata Wachaga, inasemekana ni mchanganyiko wa Wamasai, Wakamba, Wakahe, Wasambaa, na Wataita.
Kwa sababu hiyo basi, hata ikitokea umeamua kumuasili mtoto mchanga ambaye katelekezwa na kabila lake haijulikani, usione tashwishwi kumwita kabila lako.
Kabila si damu. Ni utamaduni.
Makabila yanaweza kubadilika!
Ukurya wangu utatokana na damu ya kikurya maana ndio asili yangu.Acha nichukulie wewe ni Mkurya. Ukurya wako utakuwa umetokana na damu ya Kikurya au malezi ya Kikurya?